Diamond kama unataka ndoa, muoe Hamisa Mobetto

Diamond kama unataka ndoa, muoe Hamisa Mobetto

Vigezo vya Hamisa:
1. Ana umri mzuri kwako.

2. Anakupenda na wala hakupendei hela, coz wenye hela kukuzidi wapo wengi lakini kaamua kuwa na wewe kitambo.

3. Ni mzuri na ana mvuto.

4. Ni mama mwenye malengo ya familia, coz angekuwa mcharuko angetoa mimba, lakini kakubali kulea bila kujali carrier yake ya uanamitindo.

Ushauri wa bure bwana mdogo Diamond.

View attachment 742122
Mama Mobeto ameshaweka wazi..... Nataka mwanangu aolewe na mzungu!
 
Mwanamke mwenyewe kazaa watoto kwenye mafungu kama mchicha bado mnadai katulia hivi mleta post unawaza nini hasa kusema katulia.Unaelewa maana ya kutulia kweli wewe?.
 
mkuu kwenye maswala ya ndoa kumshauri mtu amuoe fulani nadhani ni kuingilia feeling za mtu yeye anajua akiwazacho thats why hadi sasa hajaoa
Kuna ndugu zangu yaan mjomba na mama mdogo walimshauri mdogo wao amuoe mwanamke fulani tena sio kumshauri walimshawishi kabisa akasikia la mkuu akaoa mwenzao hana tatizo ila wao ndio wanajuta kwanini walimshawishi amuoe, so mtoa post jiangalie usiwe wa kwanza kujutia
 
Vigezo vya Hamisa:
1. Ana umri mzuri kwako.

2. Anakupenda na wala hakupendei hela, coz wenye hela kukuzidi wapo wengi lakini kaamua kuwa na wewe kitambo.

3. Ni mzuri na ana mvuto.

4. Ni mama mwenye malengo ya familia, coz angekuwa mcharuko angetoa mimba, lakini kakubali kulea bila kujali carrier yake ya uanamitindo.

Ushauri wa bure bwana mdogo Diamond.

View attachment 742122
Polepolee kaoa kwanii anzee polepolee kwanzaa
 
Mwanamke akisha kukupeleka mahakani mwogope sana. Hakufai ata chembe,kila siku mtakuwa amkosekani kwa hakimu
 
Back
Top Bottom