Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
Kama mkataba wa Beckham ni kati yake na host nation(Qatar) na WC mkataba wao ni wa FIFA hilo linawezekana kabisa.Hiyo taarifa ya Beckham kulipwa 200B ni sahihi?
Inakuwaje balozi alipwe mkwanja zaidi ya mara mbili ya mshindi wa WC yaani Argentina?