Kama mkataba wa Beckham ni kati yake na host nation(Qatar) na WC mkataba wao ni wa FIFA hilo linawezekana kabisa.Hiyo taarifa ya Beckham kulipwa 200B ni sahihi?
Inakuwaje balozi alipwe mkwanja zaidi ya mara mbili ya mshindi wa WC yaani Argentina?
Net worth."net wealth"
kiki ya mpemba tena,, ndo kafanyaje tena huyo mpemba hebu toa ubuyu mana najua hupitwi na jambo homeboy!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chawa wa domokayaaa vipi kiki ya kutoka na mpemba imebumaa?? Uwiiiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unapendaa umbea na ubuyuuu weyeee lol.kiki ya mpemba tena,, ndo kafanyaje tena huyo mpemba hebu toa ubuyu mana najua hupitwi na jambo homeboy!!
Sio chuki brazaa, wee unaamini wamemuita aka perfom kwenye fainali? Waache ma giant wotee huko wamfate mondi?KUNA AKILI MGANDO KIBAO WANAKOMENTI KWA CHUKI NA HUSUDA,... SHIDA YA KUMFANANISHA MOND NA WAVUTA BANGI WA KIMAKONDE WANAOPAFOM SHOW ZA BURE MWEMBEYANGA NA TANGANYIKA PACKERS.
Si mkapime DNA,au kwasababu ni star kila mtoto akiambiwa ni wake,akubali tu?Chibu Dangote CEO Dr Honorary Doctorate PhD Professor Mzee wa kuloweka kisha kukataa watoto
Ongezea nyama post mkuuHuyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Safi kabisaHuyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Diamond ukimlipia nauli na makazi ana perform kwa dola elfu tano.
😁Ungesikia 'brother, mimi nimelipwa zaidi ya Billion 10' kuperform kwa dakika 10 tu hapo Qatar.
inashangaza sana watu wanacomment bila kujua ukweli wa habari. We mleta uzi leta source ya habari yako.Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.