Man Middo tz
Senior Member
- Sep 9, 2020
- 182
- 279
Yani huyu Diamond wa Tandale akatae b.2? kwa Brand gani worldwide kumzidi Beckham?Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Wakati analoweka hakuwaza anaweza kupigwa? Watu wanawaza kulipa Bills kutokea kina Bushoke design hizoSi mkapime DNA,au kwasababu ni star kila mtoto akiambiwa ni wake,akubali tu?
Acheni hizo.
Umecheka na mm nikacheka 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata bureHata mil 50 angepaform
Utajiri wa Nasibu Abdul unakadiriwa kufikia bilion 5. Sasa anakataaje bil 2 ambazo ni karibu nusu kabisa ya maisha yake yote ya utajiri!Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Milioni 100 tu ingetosha kumfanya hata kuimba singeli.Ndio maana P Mawenge hakutaka hata kujibu DM yao kuhusu ombi lao la kumuita apafomu kwa 800M
Hiyo 100M labda awaachie ngoma zake mzi play lakini sio apafomuMilioni 100 tu ingetosha kumfanya hata kuimba singeli.
Atakutoboa spika huyo diamondHuyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform.
Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
Hata kwa kutozwa yy hela angepaformHata bure