Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama kabisa ndugu, tupo hai na hilo ndio la kuzingatia.Well said 🤓
Habari za siku,
Nakusalimia 🤚
Very true 😊Salama kabisa ndugu, tupo hai na hilo ndio la kuzingatia.
Sijakuelewa mkuukipindi cha kuandamana bado kipo?
Umemaliza kila kitu mkuuDiamond ni mfanyabiashara, kwake pesa ni kila kitu. Hawezi kuthubutu kuweka rehani mafanikio yake kwa kwenda kinyume na chama tawala.
Anaweza kuhamia CHADEMA kama ikishika hatamu maana mwisho wa siku anaangalia maslahi yake.
Binadamu mwenzako utamwitaje chai jabaUkweli ni kuwa Chai jaba hana mpango huo kabisa ila mleta mada alikuwa anatafuta angle ya kujidhalilisha Chadema tu.
Katiba ya Tanzania unaijua ulishawahi kuisoma? Diamond siyo Mtanzania? Kugombea hilo jimbo unalosema ni makosa kisherI?Habari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza taifa hapo mwakani...
Kawe si nasikia mtoa mapepo ashakaba mwaka wa tatu sasa huu kupitia kijani?Ni jambo jema
Aje hata huku Kawe tutamchagua
Nimeanza kuwajulisha mimi, ili atapokuja kusema mwenyewe msishangae.Atatujulisha mwenyewe.!
Kweli awe anatupa mistari hata huko mjengoni !! Au siyo wajameni ?! Na Harmo agombee Newala itapendeza sana !!Ni jambo jema
Aje hata huku Kawe tutamchagua
Babutale na FA watakuwa washamuua sikio tayari. Kwamba siasa ina manufaa makubwa baada ya mziki.Tanzania siasa ndo kilele cha mafanikio ya mtu??
Yeye mwenyewe anajiita hivyo mimi ni nani nimbishie?Binadamu mwenzako utamwitaje chai jaba
Yah akienda Kigoma ana uhakika wa kushinda kupitia chama chochote kile.Aende huko kwao Kigoma akagombee kupitia CCM atashinda.
Babu talee anampa somo ili awe mjengoni.
Diamond akigombea na heche still atashinda ukiondoa Mbowe na Lissu hapo CHADEMA hakuna mtu mwingine mwenye influence kubwa zaidi ya DiamondChadema haichukui magalasa kama Babu tale.