Me nimezungumza kuandamwa wewe unasema kuandamana uoni utofautiNimemjibia hapo chini kwamba CCM ya kuandamana haipo sasa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nimezungumza kuandamwa wewe unasema kuandamana uoni utofautiNimemjibia hapo chini kwamba CCM ya kuandamana haipo sasa hivi.
Labda shield, siyo.kupata zaidi.CCM ya sasa haina mambo hayo. Mtu yuko huru kujiunga chama chochote, ila wananchi ndo watakaotoa hukumu ya mwisho uchaguzini.
sasa hi status haifaiMbona kina Sugu walikuwa wanavaa mpaka hereni, na bado waligombea ubunge wakashinda?!!
Na mimi namshauri agombee kupitia hiyo hiyo CCM. Huko kwengine kwa kwa sasa ni mizinguo kinoma.Yule hata ikitokea anagombea,atagombea kupitia CCM.
NA WEWE UNAJIUNGA LINI NA ACT KUGOMBEA URAIS ? MAANA NAONA UNAWATAJA WENGINEHabari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza taifa hapo mwakani.
Japo mimi sio mwanasiasa, lakini ningependa kumshauri ndugu yetu Diamond afikirie mara mbili uamuzi wake huo. Asije kuingia huko kichwa kichwa akaanza kufanywa mtaji wa kisiasa na hawa wanasiasa wetu uchwara wanaofanya siasa zao kupitia mgongo wa majina ya watu maarufu nk.
Na kama kweli ana lengo la kushinda uchaguzi basi akagombee katika jimbo moja la kwao Kigoma, maana kule anakubalika kuliko yule mmanyema mwenzake kwa jina anaitwa Zito.
Wewe kama mwana JF, una nini la kumwambia ndugu yetu Dangote wa tandale.
Lisemwalo lipo, na kama halipo laja.
Ok mkuu nahisi nilikuwa sijakuelewa.Me nimezungumza kuandamwa wewe unasema kuandamana uoni utofauti
Siku kikipata viongozi makini nitajiunga nacho. Lakini kwa sasa naona kimejaa wachumia tumbo watupu kutoka pande za mwambao.NA WEWE UNAJIUNGA LINI NA ACT KUGOMBEA URAIS ? MAANA NAONA UNAWATAJA WENGINE
Nimependa ulivyojibu kwa maandiko matakatifu.1 Wakorintho 7:24
Pa1 mkuu 😍😍Haswaaaaaah
Pa1 mkuu 😍😍Haswaaaaaah
AmiinSisi tunangoja panapo majaaliwa mwaka 2025 utaongea wenyewe.
Bila shaka atakaribia tu mkuu.Karibu Chadema Diamondi.
Hata na mimi hili sikupendezewa nalo. Sema ndo hivyo binadam tonatofautiana fikra.Binadamu mwenzako utamwitaje chai jaba
Sio mtanzania ni Mmarekani au mjerumani?Katiba ya Tanzania unaijua ulishawahi kuisoma? Diamond siyo Mtanzania? Kugombea hilo jimbo unalosema ni makosa kisherI?
Inasemekana nje ya mziki jamaa yuko vizuri kichwani.Huko kutaitwa kupatwa kwa Bunge
Maana Sasa litageuka kokoro.
Armo akigombea kupitia ACT Wazalendo huko kwao Newala itakuwa vizuri zaidi.Kweli awe anatupa mistari hata huko mjengoni !! Au siyo wajameni ?! Na Harmo agombee Newala itapendeza sana !!
😂😂😂😂Diamond akigombea na heche still atashinda ukiondoa Mbowe na Lissu hapo CHADEMA hakuna mtu mwingine mwenye influence kubwa zaidi ya Diamond
Umeandika maneno yenye busara na elimu tosha kwa watakaopenda kujifunza kupitia kwa haya uliyoandika.Uongozi kwa ujumla siyo mahali pa kwenda kutafutia pesa, bali ni mahali pa kwenda kutumia pesa yako, ujuzi wako na uwezo wako, kuwasaidia unaowaongoza. Ni mahali pa kwenda kuwaonesha unaowaongoza njia ya kuondokana na umaskini, ja matatizo mbalimbali yanayowazunguka unaowaongoza. Kiongozi anastahili kuwa na majibu ya matatizo ya anaowaongoza.
Fikiria maskini anakuwa kiongozi, halafu wewe maskini mwenzie unaamini yeye anaweza kukuonesha njia ya wewe kutoka kqenye umaskini. Yaani akuoneshe njia ambayo hata yeye hakuiona.
Tanzania, ndiyo maana unasikia pesa za umma zinaibiwa, ni kwa vile maskini wanatafuta uongozi ili waondokane na umaskini.
Uongozi ni jambo la heshima. Wanatakiwa kwenda wanaotafuta heshima na recognition, na sio wenye njaa kali.
Hivyo, kwa Diamond kuutafuta uongozi siyo ni jambo jema. Ana uwezo wa kuyatatua matatizo kadhaa ya atakaowawakilisha, japo siyo sifa pekee anayostahili kuwa nayo kiongozi.
Japo umeandika kisela, lkn maneno yako yana make sense 😍👍😂Kwanza aoe mke sio kuzaa ovyo nje ya doa. Ubunge ni kazi ya heshima sema imegeuzwa kua kazi ya kihuni kwa wahuni kugombea.