Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Bila shaka akipita hapa atautafakari ushauri wako vizuri.Asijihusishe na siasa. Nchi hii siasa zake hazieleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka akipita hapa atautafakari ushauri wako vizuri.Asijihusishe na siasa. Nchi hii siasa zake hazieleweki
Mentality za kijinga,ana kampuni nyingi,mtaji anao,abuni biashara za kupiga hela zaidi,maana network anayo,akina rostam waliingia siasa kutafuta networkNafikili ameona uko ndo kunafaa baada ya kuona kuna watu wanakwenda bungeni kusinzia afu wakitoka hapo mamilioni ya shiling yanaingia kwa acc zao bila jasho.
Yah nakubaliana na wewe diamond yupo smart sana nimewahi kilusikiliza baadhi ya press zake na interview zakeInasemekana nje ya mziki jamaa yuko vizuri kichwani.
Sema ndo hivyo mambo ya sanaa sometimes lazima ujifanye kichwanga ili kuvuta views na Like za kutosha mitandaoni.
Huu ndio ukweli wenyewe japo kuna baadhi hawapendi kuusikia kwa sababu zao binafsi.Yah nakubaliana na wewe diamond yupo smart sana nimewahi kilusikiliza baadhi ya press zake na interview zake
Shida ya jamaa ni mtu wa totozi SanaHuu ndio ukweli wenyewe japo kuna baadhi hawapendi kuusikia kwa sababu zao binafsi.
Kweli kabisa, ni bora asijihusishe na siasa kabisa. Zitamuharibia mazima.Mentality za kijinga,ana kampuni nyingi,mtaji anao,abuni biashara za kupiga hela zaidi,maana network anayo,akina rostam waliingia siasa kutafuta network
Mzee wa kutafuna na kutema kama big jii vile 😂😂Shida ya jamaa ni mtu wa totozi Sana
Kwani ni lazima utukane?!, sugu mbilinyi,na hata yule mvuta bangi wa moro,wao wana nn vichwani mwao zaidi ya diamond?Ndiyo tatizo lenu Sukuma Gang mkiishiwa mada mnaandika utumbo tu ili mradi muikashifu Chadema na kwa vile JF haina mhariri wa maudhui basi mada za kipumbavu zinaachwa tu kuning'inia humu.
Huyu Diamond ana nini kichwani hadi Chadema wamtake? CCM ndiyo yenye kawaida ya kutumia wasanii ili kujaza mikutano yao na mwisho wa siku inawadhulumu pesa walizoahidi wakidai chao wanasakiziwa Basata wawapige pini.
🤣🤣🤣🤣Mzee wa kutafuna na kutema kama big jii vile 😂😂
Umemsahau Wema sepetu?Uwe mda mwingine unatumia akili kufikiri badala ya makalio ;;
Acha kudhalilisha CHADEMA,,lini uliwahi ona CHADEMA ikachukua watu kama hao?
hyo ni desturi ya CCM Kuchukua wapuuzi wenzao
Sifagilii Diamond , lakini ni Yapi yaliyomkuta Bobi Wine zaidi ya Heshima kubwa na kuwa na Wabunge wa kumwaga ?Yatamkuta ya boby wine kule UG[emoji4]
Asante mkuu kwa kumuhabarisha huyo mnywa gongo. Siku zote mtu mjinga utamuona kwa ujinga wake.Kwani ni lazima utukane?!, sugu mbilinyi,na hata yule mvuta bangi wa moro,wao wana nn vichwani mwao zaidi ya diamond?
Mdude nyagali, Sugu, Mdee na wengine wengi tu kawasahau. Jamaa anajifanya anaipenda na kuijua sana Chadema wakati Chadema yenyewe haimjui yeye wala mumewe.Umemsahau Wema sepetu?
🤣🤣🤣🤣🤣Mdude nyagali, Sugu, Mdee na wengine wengi tu kawasahau. Jamaa anajifanya anaipenda na kuijua sana Chadema wakati Chadema yenyewe haimjui yeye wala mumewe.
UG ni utawala wa kidikteta, wakati TZ ni utawala wa kidemokrasia. Kwahiyo hakuna baya ambalo litamkuta, labda wananchi wamkatae.Yatamkuta ya boby wine kule UG[emoji4]
Mkuu Erythrocyte heshima yako ndugu 🙏 Nafurahi angalau umetia neno lenye kufikirisha 👍Sifagilii Diamond , lakini ni Yapi yaliyomkuta Bobi Wine zaidi ya Heshima kubwa na kuwa na Wabunge wa kumwaga ?
Naunga mkono hoja Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!. ila agombee kupitia kile chama pekee, the one and only party.Wewe kama mwana JF, una nini la kumwambia ndugu yetu Dangote wa tandale.
Lisemwalo lipo, na kama halipo laja.