mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Mnawatisha tiaraei ?!Karibu Chadema Diamondi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawatisha tiaraei ?!Karibu Chadema Diamondi.
Kweli kabisa mkuu, kwa hili haujakosea.Mimi naomba uongozi ni kipaji lakin huku kwenye siasa Angalau kuwe na qualifications na creteria kwamba ni nani anasifa za kuwa nani
Kwann mkuu?Hana jeuri hiyo
Ova
Aisee umeniacha hoi bin tabaan 🤣🤣🤣
Atakuwa anazitafuta nyingi zaidi na pia labda kupata shields !!Uongozi kwa ujumla siyo mahali pa kwenda kutafutia pesa, bali ni mahali pa kwenda kutumia pesa yako, ujuzi wako na uwezo wako, kuwasaidia unaowaongoza. Ni mahali pa kwenda kuwaonesha unaowaongoza njia ya kuondokana na umaskini, ja matatizo mbalimbali yanayowazunguka unaowaongoza. Kiongozi anastahili kuwa na majibu ya matatizo ya anaowaongoza.
Fikiria maskini anakuwa kiongozi, halafu wewe maskini mwenzie unaamini yeye anaweza kukuonesha njia ya wewe kutoka kqenye umaskini. Yaani akuoneshe njia ambayo hata yeye hakuiona.
Tanzania, ndiyo maana unasikia pesa za umma zinaibiwa, ni kwa vile maskini wanatafuta uongozi ili waondokane na umaskini.
Uongozi ni jambo la heshima. Wanatakiwa kwenda wanaotafuta heshima na recognition, na sio wenye njaa kali.
Hivyo, kwa Diamond kuutafuta uongozi siyo ni jambo jema. Ana uwezo wa kuyatatua matatizo kadhaa ya atakaowawakilisha, japo siyo sifa pekee anayostahili kuwa nayo kiongozi.
CCM ya sasa haina mambo hayo. Mtu yuko huru kujiunga chama chochote, ila wananchi ndo watakaotoa hukumu ya mwisho uchaguzini.Hela anazopata kwenye mziki ni hela nyingi kuliko atakazoenda kupata kwenye siasa labda kama hana mpango wa kutengeneza pesa ndio aingie uko. Ushauri wangu kwake ni Bora abaki CCM kwa maslahi mapana ya biashara zake kuliko kwenda Upinzani ataandamwa Sana
sasa msuka dredi awe mbunge wa ardhi fulani ya ichi ya kiafrica ni aibu na ni kukosea heshima nchi kwa ujumlaKweli kabisa mkuu, kwa hili haujakosea.
HaswaaaaaahYah akienda Kigoma ana uhakika wa kushinda kupitia chama chochote kile.
Jamaa ana nyota.
Kwanza aoe mke sio kuzaa ovyo nje ya doa. Ubunge ni kazi ya heshima sema imegeuzwa kua kazi ya kihuni kwa wahuni kugombea.Habari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza taifa hapo mwakani.
Japo mimi sio mwanasiasa, lkn ningependa kumshauri ndugu yetu Diamond afikirie mara mbili mbili uamuzi wake huo. Asije kuingia huko kichwa kichwa akaanza kufanywa mtaji wa kisiasa na hawa wanasiasa wetu uchwara wanaofanya siasa zao kupitia mgongo wa majina ya watu maarufu nk.
Na kama kweli ana lengo la kushinda uchaguzi basi akagombee katika jimbo moja la kwao Kigoma, maana kule anakubalika kuliko yule mmanyema mwenzake kwa jina anaitwa Zito.
Wewe kama mwana JF, una nini la kumwambia ndugu yetu Dangote wa tandale.
Lisemwalo lipo, na kama halipo laja.
Habari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza taifa hapo mwakani.
Japo mimi sio mwanasiasa, lkn ningependa kumshauri ndugu yetu Diamond afikirie mara mbili mbili uamuzi wake huo. Asije kuingia huko kichwa kichwa akaanza kufanywa mtaji wa kisiasa na hawa wanasiasa wetu uchwara wanaofanya siasa zao kupitia mgongo wa majina ya watu maarufu nk.
Na kama kweli ana lengo la kushinda uchaguzi basi akagombee katika jimbo moja la kwao Kigoma, maana kule anakubalika kuliko yule mmanyema mwenzake kwa jina anaitwa Zito.
Wewe kama mwana JF, una nini la kumwambia ndugu yetu Dangote wa tandale.
Lisemwalo lipo, na kama halipo laja.
Hawawezi kumpa agombee Chadema kwani kiwango chake bado ni cha CCM.Habari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza taifa hapo mwakani.
Japo mimi sio mwanasiasa, lkn ningependa kumshauri ndugu yetu Diamond afikirie mara mbili mbili uamuzi wake huo. Asije kuingia huko kichwa kichwa akaanza kufanywa mtaji wa kisiasa na hawa wanasiasa wetu uchwara wanaofanya siasa zao kupitia mgongo wa majina ya watu maarufu nk.
Na kama kweli ana lengo la kushinda uchaguzi basi akagombee katika jimbo moja la kwao Kigoma, maana kule anakubalika kuliko yule mmanyema mwenzake kwa jina anaitwa Zito.
Wewe kama mwana JF, una nini la kumwambia ndugu yetu Dangote wa tandale.
Lisemwalo lipo, na kama halipo laja.
Ukiangalia Views na Like katika hizo picha kamwe hauwezi andika huu upuuzi wako jukwaani.Ndiyo tatizo lenu Sukuma Gang mkiishiwa mada mnaandika utumbo tu ili mradi muikashifu Chadema na kwa vile JF haina mhariri wa maudhui basi mada za kipumbavu zinaachwa tu kuning'inia humu. Huyu chai jaba ana nini kichwani hadi Chadema wamtake? CCM ndiyo yenye kawaida ya kutumia wasanii ili kujaza mikutano yao na mwisho wa siku inawadhulumu pesa walizoahidi wakidai chao wanasakiziwa Basata wawapige pini.
Jamaa anaweza kufanya vyote na akatoboa kama kawa 😂😂Haahaa,
Afanye mziki aache siasa....
Ila hata mm na dream siku Moja niwe member of Parliament (MP)
😂🤣
Nimemjibia hapo chini kwamba CCM ya kuandamana haipo sasa hivi.kipindi cha kuandamana bado kipo?
Siasa usipo side na wenye nguvu....una bankrupt Easy #ASAPJamaa anaweza kufanya vyote na akatoboa kama kawa 😂😂
Nilichoandika hapa ndio ukweli wenyewe huo. Sina lengo la kuidhalilisha Chadema wala chama chochote hapa jukwaani.Ukweli ni kuwa Chai jaba hana mpango huo kabisa ila mleta mada alikuwa anatafuta angle ya kujidhalilisha Chadema tu.
Mbona kina Sugu walikuwa wanavaa mpaka hereni, na bado waligombea ubunge wakashinda?!!sasa msuka dredi awe mbunge wa ardhi fulani ya ichi ya kiafrica ni aibu na ni kukosea heshima nchi kwa ujumla
🤣🤣🤣🤣Ukiangalia Views na Like katika hizo picha kamwe hauwezi andika huu upuuzi wako jukwaani.
Tofauti ni kubwa mno 🤣🤣🤣