Kuoa sio tatizo kwa taarifa yako patiman na diamond no maji na mafuta hawapatani hats kidogo na hawana ukaribu hats kidogo ndo maana huwezi kumkuta petiman kwenye shughuli yoyote ya diamond I we white party, shows au hats shughuli za kifamilia sijui birthday au arobaini ya watoto wakeameoa kwao
Hawawezi kumkuta mond na mzigo kwa sababu jamaa abebi mwenyewe... ye anabebesha watu kama kina Jones, we subiri jamaa wabanwe vizuri kama hawajamtaja boss wao.Kwa taarifa yako diamond ashawekewa mitego Mara kibao pale airport na kumpekua hawajawahi kumkuta na hayo makitu.
Mara kibao huwa wanamueka kizuizini kumpekua hawampati na kitu , mara nyingi anapoenda au kutoka sauzi kuna watu wenye chuki nae huwa wanapeleka umbea airport lakini hawampati na kitu.
Mwaka Jana alitakiwa akatumbuize afrimma , alifika airport wakamueka kizuizini kumkagua hadi akachelewa ndege na akaishia kubaki bongo maana tuzo zikiwa zinatolewa kesho yake. Wala hakuwa na mzigo wowote
Na Tangu lini sigara ikakuzimisha!? Anaimba nipe cha ukucha niaije zima" lini sigara ina zimisha. Kati ya sigara na unga kipi wanavuta kutumia Ukucha....???? Acheni mahaba jamani ndugu zenu tu hamuwatetei hivi but diamond povu linawatoka.Chaukucha sio unga! Kipande cha sigara cha mwisho kabisa wavutaji ndio wanajua tofauti na hapo unatudanganya tuu
Jonas? Jonas na diamond wamatembea pamoja sikuhizi? Nadhani hujamfuatilia diamond muda mrefuHawawezi kumkuta mond na mzigo kwa sababu jamaa abebi mwenyewe... ye anabebesha watu kama kina Jones, we subiri jamaa wabanwe vizuri kama hawajamtaja boss wao.
Kwani watu hawasemeheani?Haiwezekani Zari kufanya hayo jamani, haikutokea TZ ndio itokee huko?
Wasingeweza kuwa wote hadi leo, I mean D and Z.
Na we we na utimamu wako unaamini huo ujinga?Kwani watu hawasemeheani?
Uyo shabiki yake wemaNa we we na utimamu wako unaamini huo ujinga?
Yp lock up mbona tokea ijumaaRomy jobs mbona hajatajwa
Jonas yuko ndani baada ya kukutwa na mzigo mubashara... sasa kama wanatembea wote siku hizi kwa hiyo unanihakikishia huo mzigo Mond anaujua?Jonas? Jonas na diamond wamatembea pamoja sikuhizi? Nadhani hujamfuatilia diamond muda mrefu
Usitetee jambo linalosemwa kila kona maana ikija kuthibitika nawewe utaonekana ulikua part ya business.Endelea kusubiri kwendokasi Msata
Hujui unachoongea mkuuUsitetee jambo linalosemwa kila kona maana ikija kuthibitika nawewe utaonekana ulikua part ya business.
Nimekushauri tulia tu wala tusilumbane mkuu time will tell.
Tatizo wewe una muamini Mond kisa ni msanii unayempenda
Wewe ndo hujui unachotetea.Hujui unachoongea mkuu
We we endelea kusubiri mwendokasi msata
Makonda hatajali hiyo mdukuzi washatutesa sana hawa. Huu utawala was chumadomo mwenyewe yumo kwenyn list hapa yupo kwa mganga anaogeshwa dawj
Endelea kusubiri mwendokasi msataWewe ndo hujui unachotetea.
Madawa wasanii wengi wanauza huyo Mond yupo kwenye orodha siku nyingi kasemwa semwa sasa kinachotafutwa ni details za kumtia hatiani sijui mwenzangu unatetea nini hapo?
Na wewe unaamini kuwa kisigara hicho mtu akikosa anaweza zima?.....Chaukucha sio unga! Kipande cha sigara cha mwisho kabisa wavutaji ndio wanajua tofauti na hapo unatudanganya tuu
Kutetea watu uko vizuri endeleaEndelea kusubiri mwendokasi msata
Utajiri wa diamond unajulikana ,kuanzia mikataba yake na TRA wameshapita kukata chao
Ndo maana nakwambia hujui unachoongea.
Eti kasemwa sana hahaha
kweli kuna mashabiki uchwara wa DiamondEndelea kusubiri mwendokasi msata
Utajiri wa diamond unajulikana ,kuanzia mikataba yake na TRA wameshapita kukata chao
Ndo maana nakwambia hujui unachoongea.
Eti kasemwa sana hahaha