Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwahiyo una hofu huenda Platinum hata akitaka kuja posta tu; anaenda kwanza eapoti anapanda jet yake inazunguuka halafu inatua; kisha anateremka anapanda taksii hadi mjini?!
Mbona yule bilionea marehemu wa Arusha alikua nayo?
Je kati ya yule bilionea na Mengi au Rostam nani ni tajiri?
Mi nafikiri ni inategemea na scale of preference ya mtu.
hadi mawingu yatajua habari zake...mweh!!!
tunakosana na wewe hapo tu,,kejeri zisizona msingi utafikiri tumepigana kibuti bana
Evelyn Salt
seriously! ? unaijuwa Gulf stream?Mbona yule bilionea marehemu wa Arusha alikua nayo?
Je kati ya yule bilionea na Mengi au Rostam nani ni tajiri?
Mi nafikiri ni inategemea na scale of preference ya mtu.
Sijui kama ndoto hii ina busara yoyote. Kwanza ndege si kama gari. Ina utaratibu tofauti kabisa wa umiliki na matunzo. Tuseme amemudu bei ya kununua hiyo Private jet (crazy idea in itself), kwanza inabidi ipaki kwenye viwanja vilivyosajiliwa kitaifa na kimataifa na kulipiwa kwa masaa (sio bei ya parking za magari mitaani DSM!). Halafu inabidi iwe na hati updated za usalama. Haitengenezwi ikiharibika; ina ratiba (kwa masaa) na viwango maalum vya service na matengezo (checks) - hapo ulizia bei ya kila check. Rubani wake naye leseni yake si kama ya daladala; ina gharama zake maalum.
Swali linabakia: katika mazingira ya kiuchumi ya ki-TZ, kuota kununua private jet kwa mtu wa aina ya Diamond (shughuli zake za uchumi) ni ndoto sahihi? Nacho ni moja ya vigezo vya mafanikio vya kujivunia kwa vijana wetu au ni aina nyingine ya ujinga wa kukosa shule ya maana? Tuwahamasishe vijana watafute maendeleo kwa ndoto zenye viwango muafaka sio hizo za kijinga. Nchi yenyewe hata viwanda vya kimataifa haina. Labda kama tunataka kuwaingiza kwenye uchumi wa Medellin!
Hod acha kumbwelabwela kma zuzu anunua jet kwa kukata kiuno au.hizo ndoto mnaota mkiwa chooni nini? Kioa m2 ana dream zke ila cjui mnawaza kwa kutumia mata....m
Hivi unajua mana y jet n bei yke?c kila m2 anaweza buy such a stupid story like dat, huo upuuzi peleka insta kwa vilaza n wauza nyago.
Angalia c kila dream inawezekana huyu boss wko ana asset gan.nyumba anajenga karibia 3yrz n godown au kiwanda
Hiyo jet atachukua miaka 50 kuota atanunua
nishajibu,nimesema hiyo post aliweka Diamond insta week kadhaa zilizopita
na si kwamba anataka kununua mwaka huu,but ndoto zake ni siku moja anunue private jet
Dinazarde
Utawaweza watz ..kwanza hiyo post ina week ngapi sijui insta..na ndoto zake ni siku moja amiliki private jet,hajasema mwaka huu anannunua na inaweza ikatimia pia
kwa miaka 4 iliyopita
kipindi analipwa elfu 1500 kwenye kibarua..enzi hizo angesemandoto zake aje amiliki
gari si angeonekana kichekesho>??
lakin now kwake kununua gari ni kawa anaenda kununua ndala kariakoo
..so kila kitu kinawezekana
Sijui kama ndoto hii ina busara yoyote. Kwanza ndege si kama gari. Ina utaratibu tofauti kabisa wa umiliki na matunzo. Tuseme amemudu bei ya kununua hiyo Private jet (crazy idea in itself), kwanza inabidi ipaki kwenye viwanja vilivyosajiliwa kitaifa na kimataifa na kulipiwa kwa masaa (sio bei ya parking za magari mitaani DSM!). Halafu inabidi iwe na hati updated za usalama. Haitengenezwi ikiharibika; ina ratiba (kwa masaa) na viwango maalum vya service na matengezo (checks) - hapo ulizia bei ya kila check. Rubani wake naye leseni yake si kama ya daladala; ina gharama zake maalum.
Swali linabakia: katika mazingira ya kiuchumi ya ki-TZ, kuota kununua private jet kwa mtu wa aina ya Diamond (shughuli zake za uchumi) ni ndoto sahihi? Nacho ni moja ya vigezo vya mafanikio vya kujivunia kwa vijana wetu au ni aina nyingine ya ujinga wa kukosa shule ya maana? Tuwahamasishe vijana watafute maendeleo kwa ndoto zenye viwango muafaka sio hizo za kijinga. Nchi yenyewe hata viwanda vya kimataifa haina. Labda kama tunataka kuwaingiza kwenye uchumi wa Medellin!
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
nitofautishie wewe
unajua kila mtu anakuwa na malengo katika maisha lakin si lazima ulipangalo litimie
but ile kind of thinking kwamba I want to do this and this ni nzuri atleast unaonekana una focus