Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Jamani mmemnukuu vibaya alimaanisha kumnunulia doll la jet kwa mwanaye atakayezaliwa mwaka huu
 
duh! diamond anunue fast jet yake??:what: kweli muziki wetu unalipa???
 
Sijui kama ndoto hii ina busara yoyote. Kwanza ndege si kama gari. Ina utaratibu tofauti kabisa wa umiliki na matunzo. Tuseme amemudu bei ya kununua hiyo Private jet (crazy idea in itself), kwanza inabidi ipaki kwenye viwanja vilivyosajiliwa kitaifa na kimataifa na kulipiwa kwa masaa (sio bei ya parking za magari mitaani DSM!). Halafu inabidi iwe na hati updated za usalama. Haitengenezwi ikiharibika; ina ratiba (kwa masaa) na viwango maalum vya service na matengezo (checks) - hapo ulizia bei ya kila check. Rubani wake naye leseni yake si kama ya daladala; ina gharama zake maalum.

Swali linabakia: katika mazingira ya kiuchumi ya ki-TZ, kuota kununua private jet kwa mtu wa aina ya Diamond (shughuli zake za uchumi) ni ndoto sahihi? Nacho ni moja ya vigezo vya mafanikio vya kujivunia kwa vijana wetu au ni aina nyingine ya ujinga wa kukosa shule ya maana? Tuwahamasishe vijana watafute maendeleo kwa ndoto zenye viwango muafaka sio hizo za kijinga. Nchi yenyewe hata viwanda vya kimataifa haina. Labda kama tunataka kuwaingiza kwenye uchumi wa Medellin!

Point. Yani umemaliza mkuu nimekupenda
 
Hod acha kumbwelabwela kma zuzu anunua jet kwa kukata kiuno au.hizo ndoto mnaota mkiwa chooni nini? Kioa m2 ana dream zke ila cjui mnawaza kwa kutumia mata....m

Hivi unajua mana y jet n bei yke?c kila m2 anaweza buy such a stupid story like dat, huo upuuzi peleka insta kwa vilaza n wauza nyago.

Angalia c kila dream inawezekana huyu boss wko ana asset gan.nyumba anajenga karibia 3yrz n godown au kiwanda


Hiyo jet atachukua miaka 50 kuota atanunua

Bora useme wewe tukisema sie tutaambiwa tuna wivu
 
Ndoto kila m2 anazo ila yake ameota vibaya amalizie ghetto lake anajenga miaka nyumba ya kawaida.je ingekua ghorofa c angejenga miaka 10 hizo ndoto alikua amekunywa kiroba nini
 
nishajibu,nimesema hiyo post aliweka Diamond insta week kadhaa zilizopita
na si kwamba anataka kununua mwaka huu,but ndoto zake ni siku moja anunue private jet
Dinazarde

Jamani huyu kaka muongo, nyooo maneno yote haya kumbe anasoma, lione
 
Last edited by a moderator:
Kama Gari lile la Chief Kiumbe Ameshindwa Kulinunua ije kuwa hiyo 1st Jet??
 
Utawaweza watz ..kwanza hiyo post ina week ngapi sijui insta..na ndoto zake ni siku moja amiliki private jet,hajasema mwaka huu anannunua na inaweza ikatimia pia
kwa miaka 4 iliyopita
kipindi analipwa elfu 1500 kwenye kibarua..enzi hizo angesemandoto zake aje amiliki
gari si angeonekana kichekesho>??
lakin now kwake kununua gari ni kawa anaenda kununua ndala kariakoo
..so kila kitu kinawezekana

Eti kununua gari kama kununua ndala kariokoo, hiyo v8 imemshnda kununua kaazima , na wewe uone aibu mda mwingine unapitiliza sasa, ivi wewe mwenyewe una gari kwanza? Najua huna maana tungekoma hizo picha hadi ndani engine ungepiga picha.
 
Sijui kama ndoto hii ina busara yoyote. Kwanza ndege si kama gari. Ina utaratibu tofauti kabisa wa umiliki na matunzo. Tuseme amemudu bei ya kununua hiyo Private jet (crazy idea in itself), kwanza inabidi ipaki kwenye viwanja vilivyosajiliwa kitaifa na kimataifa na kulipiwa kwa masaa (sio bei ya parking za magari mitaani DSM!). Halafu inabidi iwe na hati updated za usalama. Haitengenezwi ikiharibika; ina ratiba (kwa masaa) na viwango maalum vya service na matengezo (checks) - hapo ulizia bei ya kila check. Rubani wake naye leseni yake si kama ya daladala; ina gharama zake maalum.

Swali linabakia: katika mazingira ya kiuchumi ya ki-TZ, kuota kununua private jet kwa mtu wa aina ya Diamond (shughuli zake za uchumi) ni ndoto sahihi? Nacho ni moja ya vigezo vya mafanikio vya kujivunia kwa vijana wetu au ni aina nyingine ya ujinga wa kukosa shule ya maana? Tuwahamasishe vijana watafute maendeleo kwa ndoto zenye viwango muafaka sio hizo za kijinga. Nchi yenyewe hata viwanda vya kimataifa haina. Labda kama tunataka kuwaingiza kwenye uchumi wa Medellin!

Let me love you for this, I love you Drifter
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,

OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria

Toa comment kama una nyongeza..

Nyoo kumamae zake , anadhan ------ yale kila mtu anayo
 
nitofautishie wewe

unajua kila mtu anakuwa na malengo katika maisha lakin si lazima ulipangalo litimie

but ile kind of thinking kwamba I want to do this and this ni nzuri atleast unaonekana una focus

Hana focus yeyote, mtu hata nyumba huna unawaza kununua jet, aache mawazo ya kina lil Wayne na bow wow, hana maendeleo yeyote ambayo yatafanya tuamini hizo ndoto zake na tuzione ziko alive, mtu kama lady jaydee ambaye tunajua yupo makini na ndoto zake na maisha yake akisema nataka kufungua radio station hakuna atakayepinga kama watakuwepo ni wachache na ni kweli kaonyesha nia hiyo. Diamond huna hadhi ya kununua jet. Malizia nyumba kwanza ndo uwaze hizo ndoto nyingine
 
Hivi bado kapanga Sinza au anaishi kwenye Bangalow lake Masaki teh.
 
Back
Top Bottom