time will tell mkuu, hata mr nice kabla ya kufulia alipiga show moja kali sana,tena ya kihistoria pale Rwanda..ukishafika peak kinachofuata ni kushuka tu..that is a principle mkuu
Saiz ni saa 05:11 alfajir mkuu umewahi sana ungesubir kukuche vizur
kama ni mkali kihivyo akodishe uwanja wa taifa. Na yeye apige million 427 kama mechi ya Simba na Yanga.
kwani hii show ya leo ni ya Dimond au kuna tunzo zinatolewa? sio kwamba yeye Dimond ameitwa kutumbuiza tu? maana nasikia na ya moto band watakwepo? if that is the case huwezi sema Dimond anapiga show kali za 70,000 maana si shughuli yake, or else niwe sina information za kutosha on this..ndio maana kuogopa kubwata
Kiba anafanya lini show MLIMANI CITY.??
Diamond na Ya Moto Band wanasimamiwa kwa pamoja na said fella pamoja na Babu Tale[/QUOTE that ryt co kuwai wote syo tatzo uyo anayesema ni show tu mbona ali kiba wao ayupo kutumBuiza