Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
time will tell mkuu, hata mr nice kabla ya kufulia alipiga show moja kali sana,tena ya kihistoria pale Rwanda..ukishafika peak kinachofuata ni kushuka tu..that is a principle mkuu
usibishane nao hawa
wamevurugwa toka waangushwe leaders hamu hawana tena
asa hv kila anapoitwa kwenye shoo watakurupuka
ila mimi nimewadharau sanaaaa
kwa uongo huuuuuuuuu
hamna nyimbo nyie kina elnino mnawayawaya na kukurupuka na mathread alfajir ili muwe wa kwanza kuposti