Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
kweli kiba anajua kukamata watu pabaya hawana pa kupumulia kiba ni mwanamziki dadamond ni mfanya biashara wa mziki kiba hana mashauzi ila dadamond akinunua hata boxer anataka watu wote wajue.angalizo wa tz hawapendi dharau mwambie amuulize rafiki yake mtarajiwa mr nice
Mlitaka tu na kiba aitwe wooo mwache Diamond atafute pesa ma nigaa
Anaetaka sifa kua hajionyeshi aacheee domo anasaka notiii