Diamond kwa sasa hana Baba, ukweli mchungu


Diamond na Baba yake ni case study humu ila inahusu jamii nzima
 
Masharti ya freemason, msimlaumu diamond
 
Mimi mwenyewe sijalelewa na baba na hivyo namwelewa sana na Diamond.

Ila sasa tofauti yangu inakuja hivi, kwanini humtunzi Mzee Abdul halafu unamtunza Uncle Shamte [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shamte anamtunzia mamaake [emoji28][emoji28][emoji28]
 
mzazi ni mzazi tuu. tatizo ni ujinga ujinga anaojazwa bwana naseeb na watu wanaomzunguka ukiwemo mtoa uzi. Diamond ni muislam,na Uislamu hauna mafunzo hayo wala hautoi fikra za namna hiyo kwa waumini wake. kama mshua alizingua kwenye malezi yako na sasa hivi anajutia, ni sawa, kwa sababu binaadamu Tumeumbiw makosa na shetani ndio kiongozi wa msafara huo wa kukosea, aidha kwa bahati mbaya ama kwa kukusudia. na kutubu piah ni sehemu ya maisha yetu, samehe saba Mara sabini... kama naseeb ni muislam na anaishi kwa misingi Ya dini hiyo(😁bt in reality hafuati misingi na taratibu za dini yake) , basi akae chini na ajitafakari juu ya mahusiano yake na Baba yake. mwenye wadhifa timilifu wa hukumu ni Mwenyezi mungu peke yake...


tenda wema kulipia ubaya ...
 
Diamond kwann asimchukue babaake akae nae tuone kama atanywea gongo madale
 
Baba ni baba tu! Uchagani mtoto unapata tatizo la kimila na bila baba hutoboi labda kama kafariki. Hata hivyo ndugu zake inabidi wafanye hiyo mila. Kama kweli huyo kijana ni wake huyo baba laana ipo mlangoni inasubiri kuingia ndani
 
Tunamtumia yeye kama Case Study

Mkuu unatumia kigezo gani kuuaminisha uma wa Jf kuwa Mzee Nassib ni mkosaji kwenye hili sakata? Wewe ulihusishwa vipi kwenye huo ugomvi mpaka ukang’amua huyo mzee ni mkosaji? Acha kuzungumzia tafaruku za mahusiano ya watu kama makala zako za uhamasishaji huku Jf,unakosea sana.
 
Ukinicheka shambani LAZIMA NIKUCHEKE SOKONI.
Jino kwa jino.

Aliyekuona wa afadhali mchukulie wa potelea mbali.

#YNWA
 
Saidia ulipo saidiwa.

Jifunze kupunguza shobo.
Aliyekuona wa afadhali basi mchukulie wa potelea mbali.

#YNWA
 
God Bless You ,akuongezee mara dufu ulipo punguza.
 
Kila mtu na imani yake mkuu....tumeagizwa kusamehe
Ukiweza samehe ila angalia usijegeuka mnafiki ukijifanya umesamehe wakati moyoni unakinyongo. Ni bora uonyeshe hujasamehe hata Mungu atakuelewa.
Alafu kusamehe sio lazima wala sio haki ya aliyefanya makosa, bali ukisamehewa jua ni neema tuu.
 
😊imani yako ndo inakufundisha hivyo eeeh!!?
Imani gani?
Maana hili nalo ni somo JENGINE.

Waslamu wanaamini wao ndio sahihi na wengine wotee MOTONI (wanaofanya shiriki)

Wakristo wanakwambia usipompokea Kristo (Yoh 14:1-7) Basi wewe motoni, huendi kwenye mji ule bila kupitia Kristo Yesu?

Shiah Vs Sunni nayo ni mada nyengine bila kusahau Catholic Vs Protestants na Sabath Vs Other Christian.

Ukiniambia dini fulani ndio sahihi (Mf: kristo) mi nitakuuliza ina maana Mungu alitaka nizaliwe muislamu ili niabudu dini sio halafu anichome?

IMANI GANI NI SAHIHI NA IPI ITAENDA MOTONI?

#YNWA
 
Mtoa mada anasema kusamehe sio lazima! Na mimi ninamashaka na imani yake
 
 
😊 huku wapi sasa!?...
 
Lakini sio lazima msamaha Mkuu.

Ukiona mtu umemuomba msamaha akakusamehe shukuru Mungu, sio haki yako kusamehewa ukikosea
Kusamehe ni lazima ila sasa itategemea kama msamaha wako umepokelewa au la ila umesamehe.

Ndo maana ya tenda wema nenda zako.
Hata kama mtu amekufanyia ubaya kumsamehe ni jukumu lako na yeye ndo anawajibu wa kukataa au kukubali msamaha wako.
 
Mimi mwenyewe sijalelewa na baba na hivyo namwelewa sana na Diamond.

Ila sasa tofauti yangu inakuja hivi, kwanini humtunzi Mzee Abdul halafu unamtunza Uncle Shamte 🤣🤣🤣🤣🤣
Uncle Shamte anamkuna vizuri ndio maana Bi Sandra kaelekeza mzigo apewe uncle
 
We jamaa lazima uende peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…