BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Huyo Diamond anauwezo wa kujenga kanisa?labda Jengo la Sunday School...
Pia sidhani kama ni sahihi kwa Diamond kuukabidhi huo msikiti wakati usiku wa kuamkia hiyo siku alikuwa kwenye mibalaaa ya kibao kata na bunyero bunyero. Clear lack of respect na njaa ya hap waislamu walioupokea
Mimi mkatoliki yaani diamond anijengee mimi kanisa ana ubavu gani? Acha ajenge hivyo vijumba vidogo vidogo kanisa ni habari nyingine sheheeMdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Utakuta huko chadema we ndio unaandaliwa kugombea ubunge...Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Kulikuwa kuna haja hasa ya kuandika haya?Diamond aka baba paka.
Ana mitoto shule nzima lakini hana ndoa.
Mnaosema muislam huo ndio uislam?
Kweli kabisa! Hivi huyu jamaa anajua gharama za kujenga kanisa au anasikia! Labda kujenga kigango! Makanisa ni maekalu pesa ndefu inaweza kumfilisi! Achaaaa!Huyo Diamond anauwezo wa kujenga kanisa?labda Jengo la Sunday School...
Pia sidhani kama ni sahihi kwa Diamond kuukabidhi huo msikiti wakati usiku wa kuamkia hiyo siku alikuwa kwenye mibalaaa ya kibao kata na bunyero bunyero. Clear lack of respect na njaa ya hap waislamu walioupokea
we jamaa chizi nini ?
Diamond ni muislamu, akijenga msikiti wewe kama mkristo inakuuma nini ?
Kwani wewe unamshabikia Diamond au Naseeb Abdul?
Haya maneno ulipaswa uwaambie kina Ay, Ney wa mitego , Roma na wasanii wakristo wengine wakajenge nyumba za ibada kwa wakristo sio kulazimisha au kupangia watu ambao wameamua kusaidia imani zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Yaani watu hata hili wanashindwa kutofautisha
Mmh nyie huko kanisani kwenu hakuna makahaba, wachawi, wala rushwa? Tena hao ndio wanapewa heshima kwa kuwa wanatoa sadaka kubwa kubwaKanisa la Kristo halijengwi kwa hela haramu, watu wanaenda kufanya maovu uzinzi n.k kwa kwenda kwenye hayo matamasha then ukajengee kanisa, haikubaliki,
Ukitaka kutoa aibu ya mwenzio anza na ya kwakoDiamond aka baba paka.
Ana mitoto shule nzima lakini hana ndoa.
Mnaosema muislam huo ndio uislam?
Amina!Kanisa la Kristo halijengwi kwa hela haramu, watu wanaenda kufanya maovu uzinzi n.k kwa kwenda kwenye hayo matamasha then ukajengee kanisa, haikubaliki,
Diamond aka baba paka.
Ana mitoto shule nzima lakini hana ndoa.
Mnaosema muislam huo ndio uislam?
Si afadhali nimesema mitoto ningesema wanaharamu kwa mujibu wa kuruani si ungekunywa sumu.