Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

Habari inayowaka moto kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni Video inayoonyesha Gari ya Diamond Platnumz ikiwa imepaki, huku ndani ya gari hilo ikisemekana yupo na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Hamisa Mobetto ambaye pia ni Mzazi mwenzie.

Video hyo inazagaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii huku watu wakimsikitikia Hamisa Mobetto kwa kitendo chake cha kurudiana na Diamond wakati alitukanwa na kudhalilishwa na familia nzima lakini anaonekana kuziba masikio na kuendelea kula bata na mzazi mwenzie

Ikumbukwe jana ilikuwa ni uzinduzi wa mpenzi wa Diamond, Tanasha ambapo Diamond aliomba radhi kuwa amepata emergency nyumbani hivyo angeshindwa kuhudhuria event hyo ya baby mama wake.

Kama namuona Zari anavyokenua meno huko aliko. Na wewe Tanasha ndo ukome ulijua ukizaa na domo ndo atabadilika? Utaambia nini Wakenya, umebeba mimba na kuzaa umeambulia umaarufu na nyota yenyewe huna.


Basi ninavyomjua domo atafanya juu chini amvishe Pete Tanasha kumpooza.

Tanasha is so smart , beautiful and intelligent, anaweza kupata danga lolote la maana ndani na nje ya nchi kama Vannesa Mdee ila hapa kwa domo atapigwa matukio hadi arudi kwao Kenya.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Hi habari yako nimeshindwa kuamini cos hakuna sehemu yoyote uliotoa ushaidi zaidi ya kuzungumzia tetesi kingine zaidi nimeshangaa habari inahusu mondi na hamisa mambo ya zari yametoka wapi?unasema Mara zari anakenua atakenua kivp? wakati ana watoto watano sijui na Hadi sasa hiv ameachana na kingbae aache mambo yake yanayomkabili afuatilia mambo yasiomuhusu.hiv karibuni kulikuwa pia natetesi za mondi na rose hizo habari now zimekufa.
 
Sasa mkuu kweli yn unatuachia maelezo mafupi namna hii na unajua ulichokiandika ni muhimu kwa Sisi mabaharia tuonge hata kaekari 1 kigamboni nasi tuone yaliyomo

Sent using Jamii Forums mobile app

$500......yule na kale ka Officiallyn ndo bei zao. Lakini ni kama majini wale. Utarudi tu kila ukipata hela. Ni mafundi wale wanawake [emoji1544][emoji1544][emoji1544]
 
Hi habari yako nimeshindwa kuamini cos hakuna sehemu yoyote uliotoa ushaidi zaidi ya kuzungumzia tetesi kingine zaidi nimeshangaa habari inahusu mondi na hamisa mambo ya zari yametoka wapi?unasema Mara zari anakenua atakenua kivp? wakati ana watoto watano sijui na Hadi sasa hiv ameachana na kingbae aache mambo yake yanayomkabili afuatilia mambo yasiomuhusu.hiv karibuni kulikuwa pia natetesi za mondi na rose hizo habari now zimekufa.

We nae achana na mimi bwana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama ni kweli i feel sorry kwa Tanasha
Kwa upande wangu hiyo habari siiamini kabisa hazina tofauti na zile tetesi za mondi kutoka na tesy chocolate Mara rose wanavumisha vitu ambavyo havina ushaidi lengo kuu wamuumize Tanasha kwa chuki zao binafsi kwa Tanasha.Zamani kwel mondi alikuwa mchepukaji na kulikuwa na ushaidi na mademu aliyotoa nao lakini tokea aingia na uhusiano na Tanasha jamaa katulia ile mbaya na inaonesha jamaa ana malengo ya dhati na Tanasha uwezi kuona Kuna video mond yupo na demu fulani hata tu kukumbatia mwanamke fulani tofauti na Tanasha huoni.
 
Kwa upande wangu hiyo habari siiamini kabisa hazina tofauti na zile tetesi za mondi kutoka na tesy chocolate Mara rose wanavumisha vitu ambavyo havina ushaidi lengo kuu wamuumize Tanasha kwa chuki zao binafsi kwa Tanasha.Zamani kwel mondi alikuwa mchepukaji na kulikuwa na ushaidi na mademu aliyotoa nao lakini tokea aingia na uhusiano na Tanasha jamaa katulia ile mbaya na inaonesha jamaa ana malengo ya dhati na Tanasha uwezi kuona Kuna video mond yupo na demu fulani hata tu kukumbatia mwanamke fulani tofauti na Tanasha huoni.

Ni vizuri kama akitulia kwa sasa,ni wakati wake ajifunze kuheshimu mahusiano yake
 
Hakuna kipya hapo , mbn hata sisi na ma x zetu huwa tunarudiana tunapasha viporo

sent from toyota Allex
 
Back
Top Bottom