Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kukosa muda kwa umpendayeIla binamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bado nawaza mondi aliaga kua kapata emergency ya kifamilia ndio akaondoka kenya. Tanasha sio familia? Mbona akamuacha jaman
Alishafariki mbona,Jf mnajuaje kama mtu kafa,naona hapo warumi Rip mna maana gani
Aisee kiukweli Nina mda mrefu sijaingia jf alikuwa anaumwa??Alishafariki mbona,
Ukiachilia mbali majina bandia haya, wengi tunajuana physically kabisa. Kwa hio ukifariki tutajua tu, unless usiwe na rafiki kabisa ama hufahamiki kbs hapa JF. Sie wakongwe humu tunajuana na wengi sana na tumesaidiana sana kwenye mishe kibao za kimaisha.Jf mnajuaje kama mtu kafa,naona hapo warumi Rip mna maana gani
UshimenUkiachilia mbali majina bandia haya, wengi tunajuana physically kabisa. Kwa hio ukifariki tutajua tu, unless usiwe na rafiki kabisa ama hufahamiki kbs hapa JF. Sie wakongwe humu tunajuana na wengi sana na tumesaidiana sana kwenye mishe kibao za kimaisha.
Oh hapo wewe ndio nimekuelewa maana nilichokuwa nakijua ni kuwa wengi tunatumia account fake,asante kaka nimekuelewa 🙏🙏🙏🙏🙏Ukiachilia mbali majina bandia haya, wengi tunajuana physically kabisa. Kwa hio ukifariki tutajua tu, unless usiwe na rafiki kabisa ama hufahamiki kbs hapa JF. Sie wakongwe humu tunajuana na wengi sana na tumesaidiana sana kwenye mishe kibao za kimaisha.