Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

Kwa upande wangu hiyo habari siiamini kabisa hazina tofauti na zile tetesi za mondi kutoka na tesy chocolate Mara rose wanavumisha vitu ambavyo havina ushaidi lengo kuu wamuumize Tanasha kwa chuki zao binafsi kwa Tanasha.Zamani kwel mondi alikuwa mchepukaji na kulikuwa na ushaidi na mademu aliyotoa nao lakini tokea aingia na uhusiano na Tanasha jamaa katulia ile mbaya na inaonesha jamaa ana malengo ya dhati na Tanasha uwezi kuona Kuna video mond yupo na demu fulani hata tu kukumbatia mwanamke fulani tofauti na Tanasha huoni.

Ila video ilipostiwa insta binamu au hukuona? Lisemwalo lipo, na huu ukaribu wa Hamisa na Esma hivi Karibun unaupa umbea nguvu , jaman vitu vingine sio mpaka mletewe ushahidi unajumlisha tu matokeo, mi sipendag wambea ambao ni wavivu kufikiri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mi nilistaajabu kingbae shoga kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app

Yule hakua King Bae, Fake king bae alikua ni mwingine na huyo Cedric ni mwingine , alikua tu anazuga watu

Huyo Cedric sio shoga ila anapenda sana company ya mashoga , c unajua kule south mashoga kama wote , so kule ni kawaida sana , yule kaka hana hayo mambo binamu sema tu ukaribu na lasizwe ambaye ni shoga maarufu SA ndo umemponza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hiv unajua mtu anayependa wewe?sijawahi kununua kazi ya msanii yoyote wa mziki, sijawahi kuuzulia kwenye show ya msanii yoyote hata kwa bure alafu nashangaa unaniambia Nina mahaba.

Babu mimi, lazima nikutanie mjukuu wangu
 
Naona hapo umemgusa warumi kunako wewe sio mtu mzuri kabisa.

Ahahah kuwa ndo mambo ninayoyapenda au ? Mbwa wewe[emoji23][emoji23][emoji23]... Kwanza yule binamu wala sio King Bae , Pili sio shoga , sema ukaribu wake na lasizwe ndo umemponza ila hana hayo mambo[emoji16]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe una uhakika gani hii habari ya ukweli ?nimesoma Uzi wote wa mtoa mada sijaona hata ushaidi wowote alio utoa tuamini habari yake.

Ndio maana ukaambiwa umbea , sasa unataka ushahid wa nini kenge wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Shida umeleta wakati mgumu umbea wako ndo maana haunogi.
Tuache tushugulikie mambo ya pompeo na bulldozer kwanza ndo habari za town zinazotrend.
Hamisa na Chibu denga watuache kwanza.

Sasa Kilichokuleta nini kama sio umbea nini , si huende huko kwa kina pompeo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yule hakua King Bae, Fake king bae alikua ni mwingine na huyo Cedric ni mwingine , alikua tu anazuga watu

Huyo Cedric sio shoga ila anapenda sana company ya mashoga , c unajua kule south mashoga kama wote , so kule ni kawaida sana , yule kaka hana hayo mambo binamu sema tu ukaribu na lasizwe ambaye ni shoga maarufu SA ndo umemponza


Sent from my iPhone using JamiiForums


Iwe South, Marekani au Mombasa straight men can't hang out with the gays all the time. Company ya machoko mambo ya kichoko tu saa zote, sasa kama sio mmoja wao, how can you stand them?
 
Ila binamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bado nawaza mondi aliaga kua kapata emergency ya kifamilia ndio akaondoka kenya. Tanasha sio familia? Mbona akamuacha jaman
Ndio maana ukaambiwa umbea , sasa unataka ushahid wa nini kenge wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa ushasema umbea unatak ushahidi wa nini ? Unanilipa au ? Mxieew


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ni wa kike au kiume? kwa jinsia yoyote uliyonayo natamani kukugonga
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ndio maana ukaambiwa umbea , sasa unataka ushahid wa nini kenge wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
Haya umeshinda Ila namna ulivyowasilisha umbea wako na namna ulivyotoa maoni yako umeonesha una uhakika jamaa anatoka na hamisa mobetto ndo me Nika comment hivyo ila sorry Kama comment yangu imekukwaza maana Hilo povu ulilotoa si la nchi hii.
 
Ila binamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bado nawaza mondi aliaga kua kapata emergency ya kifamilia ndio akaondoka kenya. Tanasha sio familia? Mbona akamuacha jaman
Kama ukiangalia vizuri Kuna kitu kilichomfanya mondi afanye hivo diamond anachotaka music wa Tanasha ujiuze wenyewe ili isionekane anambeba ndo maana akamwachia event yake kijanja Wala hakuna tatizo lolote la familia.Wewe ujiulizi Tanasha anaudhuria show nyingi za mondi hapa bongo ikiwemo Wasafi festival lakini hakuna hata show moja aliyowahi diamond kumpandisha Tanasha jukwaani aimbe.
 
Iwe South, Marekani au Mombasa straight men can't hang out with the gays all the time. Company ya machoko mambo ya kichoko tu saa zote, sasa kama sio mmoja wao, how can you stand them?

Kwa sababu sisi tumekulia uswahlin Ndio maana tuna mentality za ajabu, sasa kama mtu anatoa tako wewe inakuhusu nini ? , halafu wanaume hawanaga mda wa kuchukia watu wa hvyo, ukiona mtu anawachukia just know it’s one of them period


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila binamu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi bado nawaza mondi aliaga kua kapata emergency ya kifamilia ndio akaondoka kenya. Tanasha sio familia? Mbona akamuacha jaman

Uzuri ile familia dunia Nzima inaijua vimbwenga vyake still bibie kaamua kwenda kujipachika mimba , au alijua yeye ana naniliu ya dhahabu atoachwa ndo akome


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa sababu sisi tumekulia uswahlin Ndio maana tuna mentality za ajabu, sasa kama mtu anatoa tako wewe inakuhusu nini ? , halafu wanaume hawanaga mda wa kuchukia watu wa hvyo, ukiona mtu anawachukia just know it’s one of them period


Sent from my iPhone using JamiiForums


Naona hujanielewa mkuu, nimesema a straight man kuwa na mashoga all the time kuna utata kidogo. Mi sina mizengwe nao, lakini siwezi kuingia kwenye gay bar hata siku moja.
 
Back
Top Bottom