Diamond na Hamisa wadaiwa kurudiana

Nachompendea Warumi anakuchamba na kukusifia hapohapo.

Eti Tanasha ni Intelligent hapohapo hana nyota[emoji23]

Warumi wewe ni nyoko, usiwe unapotea hivyo mate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiki kwa Piki piki ,hawezi kutoa wimbo Bila MIKIKI YA PIKIPIKI.
 
Shida umeleta wakati mgumu umbea wako ndo maana haunogi.
Tuache tushugulikie mambo ya pompeo na bulldozer kwanza ndo habari za town zinazotrend.
Hamisa na Chibu denga watuache kwanza.
 
Shida umeleta wakati mgumu umbea wako ndo maana haunogi.
Tuache tushugulikie mambo ya pompeo na bulldozer kwanza ndo habari za town zinazotrend.
Hamisa na Chibu denga watuache kwanza.
kwa kweli
 
KWANI NA WAO WAMEZUIWA KWENDA MAREKAN! HII SIO HABARI KUBWA KWANZA NANI ALIKUAMBIA KUWA WALIACHANAI
 
Wewe jamaa unajua sana kupenda. Hatari hiyo
Hiv unajua mtu anayependa wewe?sijawahi kununua kazi ya msanii yoyote wa mziki, sijawahi kuuzulia kwenye show ya msanii yoyote hata kwa bure alafu nashangaa unaniambia Nina mahaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…