Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Hiyo kulia chini ni Palm Village Mikocheni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhhh Mwananyamala hii hii niliyokulia mimi?Mwananyamala pale kanunua mtaa mzima ....hela ipo asee
Nasubiri updates ya jambo hili.Mmmhhh Mwananyamala hii hii niliyokulia mimi?
Hebu nipe habari isijekua nimeuzwa huku sina habari.
Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.
Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu
View attachment 1770440
Mwananyamala gani?Mwananyamala pale kanunua mtaa mzima ....hela ipo asee
Tatizo pesa watu wanazidiana hawawezi kuwa sawa kwa maisha aliyopotia yeye ni tajir sana kwa sasaMie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.
Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu
View attachment 1770440
Wewe unamiliki nini???Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.
Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu
View attachment 1770440
Nyuma yake kuna vigogo wezi wanamuweka mbele mondi sio zake hizo mfano hiyo hotel ilikuwa sio yake kuna kigogo alitaka ipae ipate wateja wengiMimi nyumba nilizoshuudia kwa jicho langu zinazidi 20.
Mkuu achana na story za hivi zimepitwa na wakati. Vijana siku hizi wana pesaNyuma yake kuna vigogo wezi wanamuweka mbele mondi sio zake hizo mfano hiyo hotel ilikuwa sio yake kuna kigogo alitaka ipae ipate wateja wengi
Mwananyamala pale kanunua mtaa mzima ....hela ipo asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee acha utani bas dea, umeandika wee au umekosea ku type?Mwananyamala pale kanunua mtaa mzima ....hela ipo asee
Duh hatari sanaMimi nyumba nilizoshuudia kwa jicho langu zinazidi 20.
Kanunua nyumba nne kwa pamoja tu kwa 25m kila moja.