Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Diamond na kujimilikisha mali ambazo sio zake

Unapata tabu na maisha ya watu juzi umeanza na Idris leo Diamond.




Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.

Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu


View attachment 1770440
 
Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.

Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu


View attachment 1770440
Tatizo pesa watu wanazidiana hawawezi kuwa sawa kwa maisha aliyopotia yeye ni tajir sana kwa sasa
 
Kwakweli mambo ya Roll Royce yalianza kitambo kidogo aisee[emoji23][emoji23][emoji23]mpk sasa sijui imekuaje..nadhani Ile private jet iliyoanza kuzungumzwa 2021 tutaiona 2080...ila we konde fan umezidisha chumvi kwenye hii taarifa,jamaa hela anayo!![emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena , na ile mall ya wasafi Sijui imeishia nchi gani au ndo imekufa na corona, mara Sijui ana perfume zake hadi leo hazipo, mara Diamond karanga.

Mond nyumba ambazo anamiliki zipo kama nane hiv ambazo anapangisha ila anashindwa kuzipost kwa kuwa hazina hadhi yake anavyoona yeye, ila kwa kujitahidi tu yuko vzur hawezi kulala na njaa hata akiacha kuimba Tatizo tu cheusi dawa anapenda kujiweka kwenye level ambazo hajafika, yani anapenda kuonekana yeye ni millionare wa kutisha wakati hajafika huko bado, kuna Vijana wenzie hapa bongo wana pesa kumzidi, wana utajiri wa kutisha sema tu hawana umaarufu kama domo , domo aache kujifanya ana pesa sana wakat anachezewa tu na wafanyabiashara Wenye pesa zao, wanamtumia jina lake hili aonekane anamiliki bidhaa au mali flan kumbe ni zuga tu


View attachment 1770440
Wewe unamiliki nini???
 
Sasa nan mwingne anaemuamini huyu domkaya, zaidi ya chawa wa WCB.
Hili lijanaume liongo km nini, hata sijawahi kuliamini kwa chochote asemacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vitu ambavyo diamond Hamiliki
1.hamiliki lebo
2.media
3.nyumba
4.magari
5.hotel
Vitu ambavyo diamond anamiliki/anavyo
Simu
Watoto/tena wengine wanasema sio wake
Nguo
Na viatu

[emoji23][emoji23][emoji23]ila wabongo tukiachana na usanii diamond ni mfanyabiashara
 
Back
Top Bottom