mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wabongo hawakubali teh tehDuh!
Yaani mnawafuatilia kiasi hicho?
Inabidi sasa na wqo waonyeshe
Mali zao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo hawakubali teh tehDuh!
Yaani mnawafuatilia kiasi hicho?
Kwahiyo ame invest Mwananyamala ! DuhMwananyamala pale kanunua mtaa mzima ....hela ipo asee
Ndio lakin wachache sio kila mnaeambiwa tajiri ni tajiri wengine nyuma yao kuna watu wanawekeza mfano mabasi ya scandnavia nyuma yake mwinyi alikuwepo ilikuja kugundulika baadaye yalivyopukutikaMkuu achana na story za hivi zimepitwa na wakati. Vijana siku hizi wana pesa
Word.Starting from the bottom now he is here.
Kwa hilo namuheshimu. Siyo mwanasiasa, siyo profesa, lakini ana roll na watu top notch nchi hii.
Kupitia yeye vijana wengi wamejua kuwa everything ia possible haijalishi umetokea kwenye background gani.
Basi kama hivyo wasanii wote wabongo fleva hawana nyumba,kwani hamna hata mmoja aliye onyesha hati ya nyumba.Umeshuhudia kwa macho mi nkadhan umeona hati ya nyumba , kama kushuhudia kwa macho sie tumeona nyumba zaidi ya mia mbili zote za domo kwa mujibu wake
Binamu punguza wivu, mtaa mzima kakomba vile vinyumba kabomoa kajenga mansions, Sandra anakomba kodi on monthly basis...Domo ana pesa ka mchanga[emoji134]Nyumba kama nne tano hivi sio mtaa binamu
Sasa je city centre...we wa mkoani nini[emoji849][emoji849]Kwahiyo ame invest Mwananyamala ! Duh
Na mimi nashangaa kwa utajiri tunaoambiwa uka invest Mwananyamala ? Si maanishi Mwananyamala hapapaswi kuwekezwa lkn come-on. Alizingatia Return on investment, risks etc?Nikajua masaki au mbezi beach , mie mwenyewe nimejenga kunduchi, Yan staa mkubwa unaenda kujenga mwananyamala mxieww
Nipate mara ngapi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida yako itaisha siku ukipata orgasm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa humu unamfautilia Mama ako au , kwenda huko mbwa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeshuhudia kwa macho mi nkadhan umeona hati ya nyumba , kama kushuhudia kwa macho sie tumeona nyumba zaidi ya mia mbili zote za domo kwa mujibu wake
Dea plz siamin km unae andika n wee au unakosea kutype? Yaan domo awe na pesa chafu kias hicho? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu punguza wivu, mtaa mzima kakomba vile vinyumba kabomoa kajenga mansions, Sandra anakomba kodi on monthly basis...Domo ana pesa ka mchanga[emoji134]
Nikajua masaki au mbezi beach , mie mwenyewe nimejenga kunduchi, Yan staa mkubwa unaenda kujenga mwananyamala mxieww