Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania

Ni jinsi gani unaonyesha umezoea maneno ya kiswazi bi shosti this ij jf we dare to talk openly ndo mana nimekwambia mahaba nipofushe niwe mbulula nifikiri kwa kutumia makanyagio think big u will understand my point clearly bila kurumia akili kubwa sana ya mtoto wa nursery tuu inatosha

Kurumia akili ndo nn
 
Ni jinsi gani unaonyesha umezoea maneno ya kiswazi bi shosti this ij jf we dare to talk openly ndo mana nimekwambia mahaba nipofushe niwe mbulula nifikiri kwa kutumia makanyagio think big u will understand my point clearly bila kurumia akili kubwa sana ya mtoto wa nursery tuu inatosha

Haha eti una code mix kabisa tukuone unajua lugha haha
 
duuuh kwaio unamfananisha suleiman na diamond mkuu?
wewe ni kun..u

Angalia nyimbo ya diamond ft iyanya inaonyeshwa Eatv sahzi..maana naona umemmids
 
Shangazi hana mda wa kufatilia habari za mmeo, yani upumuliwe wewe ucngizie wengine, aya we 'ke' kojoa urare sasa sawa eeh?
 
Back
Top Bottom