Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Alhamdullilah tuko hai tunapata kuona na kusikia hizi habari na ukitaka matusi jaribu kusema sio kweli heeee heee pole Jay Z hauna ubavu wa kumchukua Diamond maana haufikii hata nusu ya mafanikio yake na hata collabo haupati iwe wewe au yeyote hapo kwenye label yako.
 
Kwani ajabu ni nini? hakuna linaloshindikana chini ya ni wewe tu jinsi unavyoweza kuona fursa na unavyojiweka,kama unahisi wewe ni inferior no one will make you superior,and viceversa
 
We sidhani kama unafika 20 yrs,sasa huyo jigga wako na kina neyo au r Kelly si ni walewale tu?halafu kwa akili yako fupi pamoja na wenzako mliochangia kwa mihemko muelewe kua diamond ni brand mtu yeyote businessman anaweza kumuhitaji kwa makubaliano maalumu ya kibiashara,lakini pia muelewe kwa sasa diamond sio tu icon ya bongo ni kwa Africa nzima au ili nalo pia mnataka kufundishwa?acheni ujuha nyie msiojua business zinafanyikaje.

We utakua na matatizo unamfananisha Jazy na Neyo teh teh Neyo mwenyewe akikutana na Jazy nikama zali la mentali Acha kumfananisha Jazy na vitu vya kijinga
 
Duuu. Hizi kiki sasa zinaenda mbali. Labda RocNation ya sinza mapambano hiyo. Wana mkuu wao anaitwa Jay Z. Sie bongo si tunaiga maana tunao kina Amber rose, Kanye, Kim Kardashian na wengineo.
Sa we unabisha ulikiluwepo
 
We utakua na matatizo unamfananisha Jazy na Neyo teh teh Neyo mwenyewe akikutana na Jazy nikama zali la mentali Acha kumfananisha Jazy na vitu vya kijinga
Anaandika mgazeti, mbwembwe kibao + povu! Cha kushangaza sasa kaandika pumba ...eti Jay z ni sawa na ne-yo? Ukishaanza kuona msanii wa kimarekani except UN ambassador anatia tia timu Africa, ukweli ni kwamba kafulia period. Aache hebu kumfananisha Ba Blue Ivy na vitu vya kijinga jinga!
 
Aise wewe ni ******** dogo ...sasa ukinitukana ndo utabadilisha mawazo ama alichokisema mr diamond? Kipi ambacho kimekukera sana we masikin had unatukana watu usiowajua...mana kama umefikia hatua ya kutukana kisa thread bas una mawazo ya kimasikini sana ..jibu kwa hoja ama pinga kwa hoja ...najua kejeli zipo lakin sio matusi..nikiamua kukufatilia wewe dogo nafikir unaweza kua mfano, sijawa chokoraa ktk maisha yang so nakuonya kwa mara ya mwisho.
Acha MIKWARA wewe chaumbea..!
 
Back
Top Bottom