Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hapa tz dogo hafanyi shoo yoyote chini ya mil 10 ! Utakumbuka juzi alifanya shoo mwanza moja tuu mil 27! Za nje ya nchi usiongelee maake bei zake si chini ya mil 32 ela za kitz! Yupo kwenye matangazo na project na coca cola! Kwa hiyo still dogo anadeserve kabisa vitu hivi! Unakumbuka shoo yake ya mlimani city kiingilio kilikua elfu hamsini lakin wa2 walijaa kupita maelezo!
Kusema barabara ya Kilwa Road si kukosea ni sahihi kabisa. Utabadilishaje jina? "Kilwa Road" ni jina.
Kubadili matamshi si kukosea, ni kutokujuwa, utakuta wengi Kiswahili si lugha mama kwenu ni lazima wenye lugha yetu tuwarekebishe.
Msanii wa kizazi kipya diamond platinumz sasa anamiliki gari aina ya land cruiser v8 mpya! Rekodi ambayo Haijawai kuvunjwa na msanii yeyote ktk nchi hii! Ikumbukwe v8 ni gari la kifahari linatumiwa na viongoz wa juu nchini km waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ! Inakadiriwa kuwa na dhamani ya mil 300! Ni dhahiri shairi huyo kijana sasa ametoka! ! Hongerasana naseeb!
Kati ya land cruiser v8 na BMW X6 ipi ina bei kubwa zaidi?.
![]()
![]()
Kusema barabara ya Kilwa Road si kukosea ni sahihi kabisa. Utabadilishaje jina? "Kilwa Road" ni jina.
Kubadili matamshi si kukosea, ni kutokujuwa, utakuta wengi Kiswahili si lugha mama kwenu ni lazima wenye lugha yetu tuwarekebishe.
Kusema barabara ya Kilwa Road si kukosea ni sahihi kabisa. Utabadilishaje jina? "Kilwa Road" ni jina.
Kubadili matamshi si kukosea, ni kutokujuwa, utakuta wengi Kiswahili si lugha mama kwenu ni lazima wenye lugha yetu tuwarekebishe.
Kubali bure tu bibie kuwa kila mtu ana makosa.Kusema barabara ya Kilwa Road si kukosea ni sahihi kabisa. Utabadilishaje jina? "Kilwa Road" ni jina.
Kubadili matamshi si kukosea, ni kutokujuwa, utakuta wengi Kiswahili si lugha mama kwenu ni lazima wenye lugha yetu tuwarekebishe.
Tatizo mnapamba sana! Hongera yake ila hiyo gari siyo mpya ina number B ya mwaka juzi, inamaana amenunua kwa mtu, pia hiyi haifiki thamani hiyo, mpya ni 120 - 160.
Kuna miradi gani amewekeza ambayo itamwingizia kipato hata aki-fall kimziki leo. Wasani wa bongo wajipange siyo anakufa leo tunaambiwa tuchangie gharama za mazishi.
lazamami unalo hujuwi magari yanayo toka bandarin asilimia 90 niyazamani lakini kwasababu mdio umekipata na hukuwa nacho nikipya kaka mtowamada hana jipya nawewe tuoneshe jipya lako tulitasmini ongera sana diamond upo juu kuliko wenzako na huna kiburi watachonga sana ma kupakazia sana wakamwambie huyo mganga wao yahaya unazidi kupaa kaza buti plutnum
Kwa shoo zipi anazofanya? tunatakiwa tuvumbue macho sasa. Je analipa kodi ya mapato kama anavyopata?
Anafanya shoo wapi na wapi mpaka anapata hela nyingi hivyo?
ana vitega uchumi vp ambavyo vinampa kipato tofauti na muziki?
Nahitaji kulijua zaidi soko lake la muziki na VYANZO VYA MAPATO kabla sijasema neno katika Uzi MAALUM