Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Diamond Platinumz amiliki gari ya thamani kubwa

Msanii wa kizazi kipya diamond platinumz sasa anamiliki gari aina ya land cruiser v8 mpya! Rekodi ambayo Haijawai kuvunjwa na msanii yeyote ktk nchi hii! Ikumbukwe v8 ni gari la kifahari linatumiwa na viongoz wa juu nchini km waziri mkuu na baadhi ya mawaziri ! Inakadiriwa kuwa na dhamani ya mil 300! Ni dhahiri shairi huyo kijana sasa ametoka! ! Hongerasana naseeb!
Ni "thamani" mkuu, sio "dhamani"
 
nakumbuka p square walipokuja bongo waliulizwa juu ya utajir wao wale jamaa walijibu short n clear kuwa wao sio matajir na hawana mali kihvyo kama watu wanavyosema ila wanashukuru mungu kila wanachotaka wanakipata kwa wakat muafaka na wakasema hawapend maswal hayo coz tour yao ni yakimusic sio kujitangaza kuwa ni matajr.. sasa moyon nikajisemea dah indekua mbongo hapo uwiiiii angetiririka hadi vyakuazima angesema vyake.

kwenye akauti yake anasema anabillion 5
 
Lazamami unalo hujuwi magari yanayo toka bandarin asilimia 90 niyazamani lakini kwasababu mdio umekipata na hukuwa nacho nikipya kaka mtowamada hana jipya nawewe tuoneshe jipya lako tulitasmini ongera sana diamond upo juu kuliko wenzako na huna kiburi watachonga sana ma kupakazia sana wakamwambie huyo mganga wao yahaya unazidi kupaa kaza buti plutnum

Sio "tulitasmini" mkuu, "tulitathmini"
 
SIo kosa LAKE JAMANI KIBONDO ALIPO GARI KAMA HILO
 
Kuna miradi gani amewekeza ambayo itamwingizia kipato hata aki-fall kimziki leo. Wasani wa bongo wajipange siyo anakufa leo tunaambiwa tuchangie gharama za mazishi.

Tunaambiwa kawekeza sana kwenye real estate.
 
Heeee! jamani mwambien asisahau kumnunulia na Wema naye atambe nalo tena
 
Dogo awekeze maake ni kweli mziki hautabiriki lakini ni ukweli dogo kapiga hatua sana kwenye sanaa! Hatutegemei aje kua km mr nice au kandabongoman anaefanya kazi km mhudumu ktk shell moja!

Kanda bongoman kawa fuel attendant.. Duuh!
Ila kukuweka sawa, nadhani ulimaanisha petrol station au kituo cha mafuta.. Shell ni jina la kampuni, halimaanishi kituo cha mafuta. Labda awe anafanya kwenye kampuni ya shell.. Wengi wamekariri kuwa vituo vya mafuta huitwa shell, kutokana na miaka ya zamani biashara hyo kufanywa na shell na bp pekee..
 
Kanda bongoman kawa fuel attendant.. Duuh!
Ila kukuweka sawa, nadhani ulimaanisha petrol station au kituo cha mafuta.. Shell ni jina la kampuni, halimaanishi kituo cha mafuta. Labda awe anafanya kwenye kampuni ya shell.. Wengi wamekariri kuwa vituo vya mafuta huitwa shell, kutokana na miaka ya zamani biashara hyo kufanywa na shell na bp pekee..

Petrol station kwa tafsiri rahisi ni kituo kinachouza petroli, je sehemu inapouzwa diesel, kerosine na petrol yenyewe itaitwaje? Why not Petrol, Kerosine & Diesel Station?! Anyway, I am only thinking louder!
 
Kwa shoo zipi anazofanya? tunatakiwa tuvumbue macho sasa. Je analipa kodi ya mapato kama anavyopata?
Anafanya shoo wapi na wapi mpaka anapata hela nyingi hivyo?
ana vitega uchumi vp ambavyo vinampa kipato tofauti na muziki?
Nahitaji kulijua zaidi soko lake la muziki na VYANZO VYA MAPATO kabla sijasema neno katika Uzi MAALUM

Sio "TUVUMBUE MACHO", ni "TUFUMBUE MACHO' mkuu.
 
2008 to 2010 model dubai $60000 yadi wanauza 140m to 160m, 2012 to 2013 bei 180m ila ukinunua brandnew 0 kilometer pale toyota showroom n 270m
Kma dogo amenunua amepiga hatua sna age yke kumiliki gari hilo c mchezo.

Thou imetumika hpa zaidi y miaka 2 ila amepambana afanye maendeleo y mana zaidi kujenga apartments ndio biashara nzuri, hiyo nyumba yke anajenga miaka hamalizi.kma yuko vizuri ahamie kwake
 
mkuu umenena point isije ikawa kama ya wema nyumba ya milion 500 kanunua ili tuamini bongomovie inalipa kumbe kuna mtu anayemuweka mjini

Lazima tujiulize, kuna watu wanapafom zaid 50% ya diamond. aweke wazi utajiri wake. je hawa ambao wanazid 50% yake ina maana nao wana uwezo wa kumiliki hata 20% ya utajiri alionao kama kweli utajiri wake ni wa Muziki tu. Kama sivyo, basi kuna biashara tofauti na muziki au kuna watu tunatumika kupandisha chati watu kwa kudanganya watu. Diamond kumiliki gari la.zaidi ya mil 200 kwa hapo sitakuwa na imani. Labda ajitokeze mtu anieleze vizuri na awe tayari kujibu maswali yote ntayomuuliza.
Vinginevyo tunadanganywa.
 
Ni v8 mpya kaka na bei yake ndo kwenye mil 300! Cyo ile prado ya zaman ! Dogo kaingiza mkoko mpya juzi kati!

Acha mbwembwe na story za vijiweni, nani kakudanganya kuwa v8 ni 300m? tupe profoma invoice hapa acha kupamba pamba wewe!

Si una computer? nenda google search TOYOTA then weka landcruiser v8 search price uone kama inafika huko hata ukiweka kodi na usafirishaji haifiki. Labda ununue mbili na chenji itabaki ya kutosha tu!
 
Petrol station kwa tafsiri rahisi ni kituo kinachouza petroli, je sehemu inapouzwa diesel, kerosine na petrol yenyewe itaitwaje? Why not Petrol, Kerosine & Diesel Station?! Anyway, I am only thinking louder!

Thank u for trynna thnkng outta box..
Vyote ulivyotaja tunaita petroleum products.. So 'petrol' is a core..

Sawasawa mukulu!?
 
Kubali bure tu bibie kuwa kila mtu ana makosa.
Cha maana kujisahihisha, Barabara ya Kilwa Road ni makosa yaliyojijenga kichwani.

Kilwa Road ni jina tulilolizowea watu wa Dar toka enzi za mkoloni. Haya mambo ya barabara yalikuja baadae.

Kumbuka kuwa majina yakisha kuwepo sana hugeuka kuwa maneno, mfano leo hii mtu wa zamani wa Dar akikuelekeza makutano ya Mtaa wa Msimbazi na Pugu Road (Now Nyerere Road) anakwambia pale DMT wakati DMT ilikufa zamani sana, wa baadae kidogo atakwambia pale KAMATA wakati nayo hali kadhalika ilishakufa wengine wa juzi watakwambia pale Scandinavia na yenyewe haina uhai tena. Hivyo ni vitu vy a kawaida na si makosa.

Leo hii duniani Pampers imekuwa neno mbadala badala ya jina.
 
V8 VX Toyota landcruiser au Sahara kwa USA au Amazon kwa UK ni mpaka usd 95 alfu bila kulileta na bila kodi. Ni sh ngapi za kibongo? Kodi yake waijua?

Kwahiyo amount nitakuletea mbili kali sana mpaka Dar port bila kodi.
 
Back
Top Bottom