FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kukosea kupo usitoe kibanzi wakati wewe una liboliti hakuna kitu kama hiko ulichosema..."Barabara ya kilwa au Kilwa Road baaasii"
Labda asiyeijuwa Dar ndio atakosea hilo. Kwetu sisi Kilwa Road ni jina kamili la barabara ya Kilwa Road. Hakuna makosa hapo labda kwa wageni wa Dar.