Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Nasikia watu wanalipa pesa kununua haya magazeti na hawayakosi... yaani wana moyo kishenzi!! Magazeti gani haya kila wakati kuandika upuuzi? Mbaya zaidi, wengine wanayaona ndio source kabisa ya habari...!!!
Majanga ndugu.....alijisemeaga Snura.
Kiukweli mzee wa bamaga kazidi sana dharau