WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,017
U free mason tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jini likukute kisawasawa halafu likuache hai kwa siku zote hizo!
Jini katupiwa na hasimu wake wa kimuziki.
Tatizo la uchawi uuamini au usiuamini wenyewe upo tu, ila siku ukikumbana nao ndio utajua kama unachagua wewe unauamini au lah.
Mfano kwenye muziki wa bongofleva hizi mambo zipo sana.
Nitakupa kisa kimoja cha kweli, juzi hapa kulikuwa na onyesho la tigo pale leaders club sasa katika maandalizi msanii mmoja hasimu wa Diamond alifanya tukio nashindwa niliiteje.....Alipelekwa mtaalam wa jadi, alimtengeneza haswa alimpa mbuzi beberu akamshika kwa mkono mmoja akimnyanyua juu, kuna maneno aliambiwa ayarudie kuyatamka wakati anayatamka basi yule mbuzi aliwaka moto akapukutika bila kuwashwa mpaka akabaki majivu. Tukio lilifanyika alfajiri kabla ya swala ya asubuhi.
Hii imetokea ilala hapo sio muvi, na huyo msanii alipewa masharti mengi sana ikiwemo kutogusana na yoyote ili kutovuruga power yake.
So haya mambo yapo msichukulie poa lolote lisemwalo linawezekana.
We sema chuki ilihali watu wanaumizana mchana kweupe.
kuamini uchawi ni ujinga kwa kweli
Khaaaa! Chuki zitakuua matumbo!
Tatizo la uchawi uuamini au usiuamini wenyewe upo tu, ila siku ukikumbana nao ndio utajua kama unachagua wewe unauamini au lah.
Mfano kwenye muziki wa bongofleva hizi mambo zipo sana.
Nitakupa kisa kimoja cha kweli, juzi hapa kulikuwa na onyesho la tigo pale leaders club sasa katika maandalizi msanii mmoja hasimu wa Diamond alifanya tukio nashindwa niliiteje.....Alipelekwa mtaalam wa jadi, alimtengeneza haswa alimpa mbuzi beberu akamshika kwa mkono mmoja akimnyanyua juu, kuna maneno aliambiwa ayarudie kuyatamka wakati anayatamka basi yule mbuzi aliwaka moto akapukutika bila kuwashwa mpaka akabaki majivu. Tukio lilifanyika alfajiri kabla ya swala ya asubuhi.
Hii imetokea ilala hapo sio muvi, na huyo msanii alipewa masharti mengi sana ikiwemo kutogusana na yoyote ili kutovuruga power yake.
So haya mambo yapo msichukulie poa lolote lisemwalo linawezekana.
Tatizo la uchawi uuamini au usiuamini wenyewe upo tu, ila siku ukikumbana nao ndio utajua kama unachagua wewe unauamini au lah.
Mfano kwenye muziki wa bongofleva hizi mambo zipo sana.
Nitakupa kisa kimoja cha kweli, juzi hapa kulikuwa na onyesho la tigo pale leaders club sasa katika maandalizi msanii mmoja hasimu wa Diamond alifanya tukio nashindwa niliiteje.....Alipelekwa mtaalam wa jadi, alimtengeneza haswa alimpa mbuzi beberu akamshika kwa mkono mmoja akimnyanyua juu, kuna maneno aliambiwa ayarudie kuyatamka wakati anayatamka basi yule mbuzi aliwaka moto akapukutika bila kuwashwa mpaka akabaki majivu. Tukio lilifanyika alfajiri kabla ya swala ya asubuhi.
Hii imetokea ilala hapo sio muvi, na huyo msanii alipewa masharti mengi sana ikiwemo kutogusana na yoyote ili kutovuruga power yake.
So haya mambo yapo msichukulie poa lolote lisemwalo linawezekana.
Hivi hawa Global ni Mungu gani wanamuongelea hapa? eti hakipenda Jini limpate Diamond ..kwa hiyo likampata mamaye!
Ujinga mtupu...
Tutasikia mengi mwaka huu
Lawyer Ebu nisaidie hapa watu wanamchamba Diamond? Mpeleka habari global publisher? Au global publisher wenyewe? JF watu wana stress, yaan joto hasira lol! Yaani thread ikianzishwa tu utawaona wanavyoanza kuhororojoka in (@faizafox's voice) Hawajui ukweli wa habari as long as global publishers are concerned mhhh. Nilitegemea kwa watu wanaojiita great thinkers wataanza kuhoji ukweli wa habari badala yake wanarukia kum attack diamond. Kwanini tusiamini kuwa they just hate him! !