Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi alipatana na sangoma wake?
Let the kid do him.
Hajaomba ubunge wala public service.
Stop the imposition of your puritanical pretentiousness.
Nyota ya jaha
anamaanisha alitegemea kungekua jap na wasanii weni kutoka nchini kwake especially ali kiba anaepayukapayuka tu kama popo lakini cha kushanga alikua peke yake kwenye tuzo wengine bado hawajafika levo yake
Sasa ikiwa ya Burundi watakojoa dagaa, hii ya Washington DC kesho kutwa si watakunya kambale kabisa! Miba za kambale si kuchana chana nanii huko...!!
Lazima wakojoe dagaaa
Hali zenu wana jf,
Binafsi ni shabiki mzuri sana wa nyimbo za diamond na nina mkubali sana,japo huwa anaimba juu ya topic moja tuu, ambayo ni ya mapenzi. Nimekua nikifuatilia mashairi ya nyimbo zake, na naona analalamikaa sana kuhusu nyota, nikinukuu wimbo wake huu mpya wa ntampata wapi, '' ale nyotaaa, nyota ndio tatizo langu, ale nyotaaa, mpaka nalia peke yangu...!"
Na huu si wimbo wa kwanza kuongelea nyota.
Naamini tupo tofauti, na ufahamu upo tofauti, nijuzeni ndugu zangu, huyu jamaa analilia nyota gani?
Sasa ikiwa ya Burundi watakojoa dagaa, hii ya Washington DC kesho kutwa si watakunya kambale kabisa! Miba za kambale si kuchana chana nanii huko...!!
Lazima wanye mawe ya mwanza
Teh teh hata mi nimejiuliza ni dadake labda yeye karithi kwa baba.
duuuuuh!... hahaaaaaaah haters wana shida mwaka huu
Hana ubunifu kwenye uandishi. Almost
Kila nyimbo lazima alitaje jua
Hana ubunifu kwenye uandishi. Almost
Kila nyimbo lazima alitaje jua