Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hivi huyu bwana mdogo ana vitega uchumi vyovyote...

Nakumbuka kuna wakati alikuwa anajigamba kuwa na pesa nyingi kiasi cha kufikia bilioni moja...

Sasa kwa nchi yetu hii muziki si ajira rasmi na mara nyingi huwa mashabiki wake wana kasumba ya kumpenda msanii mmoja kwa muda fulani baada ya hapo wanahamia kwa mwingine mpya...

Hivyo ni vyema kutazama vyanzo vingine vya mapato sasa kwa kufungua vitega uchumi, na kwa kuwa ana jina kubwa ni rahisi kufanikiwa upande huo pia...

mfano mzuri.....original comedy.....wana miradi yao maisha yanaendelea.....sasa kwa hawa wanamziki sijui....ukiangalia mr.nice uwezi amini kama alikuwa anapendwa na pesa ilikuwepo......
 
Ghafla nimekumbuka kile kipindi cha zecomedi cha ' aliyeee fuliaaa'

Km huwa anapita humu asome hio ushauri wa Watu8

hahaaa....lilikuwa somo zuri mana unakumbusha kuweka akiba pindi una uwezo.....ingawa watu walikuwa wanalichukulia jambo hilo kama la udhalilishaji......binafsi niliona ni fundisho.....
 
Sioni kwa nini Diamond anatakiwa awe role model.

Awe role model kwa nani?

Wazazi na walezi kuweni role models kwa wanenu.

Msiachie wengine hilo jukumu.
 
inabidi utafsiri ujumbe huo wa jua ndo ujue anamanisha nini kama utaona bado huelewi kanywe mchuzi wa pweza

Jamaaa sio writer mzuri, ana uandish wa secondary...kuna watu wakiandika unakubali. Sio vina vya kufosi
 
Ndvyo watanzania tulivyo, kudhihirisha uliyoyaandika angalia mchango wao hapa, but imngekua skendo hii post ingekua na comments 1000, ila kwa kuwa ni ya kueleza ukweli hukuti mbongo hapa.
 
Kweli.

Hakuna kinachoshindikana labda pale tu utakapoiaga dunia
 
Jamaaa sio writer mzuri, ana uandish wa secondary...kuna watu wakiandika unakubali. Sio vina vya kufosi

Pamoja na uandishi wake wa secondary na blah blaah mwisho wa siku watu wanakua entertained na mziki wake na anasonga mbele zaidi hivi unaelewa maana ya skelewu?

hamna tafsiri ya hilo neno lakini kutoku make sense kwake kukaifanya nyimbo imekua hit africa nzima...vivyo hivyo kwa diamond na pia chukulia mfano mtu kama lil wayne hua unaelewa anachoimba kweli...?
 
Mnataka akifungua biashara aje kuwatangazia vyumbani mwenu?? Mtu ambaye anasomesha watoto yatima watatu IST mnadhani anategemea pesa za show pekee??
 
Hali zenu wana jf,
Binafsi ni shabiki mzuri sana wa nyimbo za diamond na nina mkubali sana,japo huwa anaimba juu ya topic moja tuu, ambayo ni ya mapenzi. Nimekua nikifuatilia mashairi ya nyimbo zake, na naona analalamikaa sana kuhusu nyota, nikinukuu wimbo wake huu mpya wa ntampata wapi, '' ale nyotaaa, nyota ndio tatizo langu, ale nyotaaa, mpaka nalia peke yangu...!"
Na huu si wimbo wa kwanza kuongelea nyota.
Naamini tupo tofauti, na ufahamu upo tofauti, nijuzeni ndugu zangu, huyu jamaa analilia nyota gani?

Nyimbo hizo ndio zinazolipa, hiyo ndio sanaa hakuna nyota anayolilia yupo kazini tu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
.da ni kweli kabisa mungu yu pamoja nasi na wala hamtupi mja wake kamwe yeye ndiye aliye tuumba na yeye ndiye mtetezi wetu milele
 
Jamaaa sio writer mzuri, ana uandish wa secondary...kuna watu wakiandika unakubali. Sio vina vya kufosi

sasa mbn hao ambao unawasifia ww ambao wakiandikia wanaeleweka mbn mwisho wao ni kwny radio za kina ruge na mengi?
 
Back
Top Bottom