Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Kamchokonoa vp tena?
Ukweli imekuana nongwa leo hii !

Jenga picha kwene tunzo izo za chanel 0 ingekuwa hivi,

Chibu tunzo 1
Vannesa Tunzo 1
Kiba tunzo 1
Rich tunzo 1

Ni furaha kiasi gani tungepata watanzania sie? Na kiasi gani tungekuwa tumejitangaza?
 

Tz kuna king mmoja tu katika kumbukumbu zangu nae ni Afande Sele hawa wengine ni konyo tu, walomzomea Diamond wote wamerudi baada ya tuzo 3 sa hivi kabaki peke yake na team yake ta watu 5.
 

Ingekua poa sana aisee
 
Tz kuna king mmoja tu katika kumbukumbu zangu nae ni Afande Sele hawa wengine ni konyo tu, walomzomea Diamond wote wamerudi baada ya tuzo 3 sa hivi kabaki peke yake na team yake ta watu 5.
Hawa team wema wamenchekesha sana aseee yaani shangazi kaniacha hoi sana.....hata mtaa wa saba nao wanasikiliza huku wamevuta mdomo hahaha
 

Attachments

  • 1417686304877.jpg
    66.5 KB · Views: 113
  • 1417686320343.jpg
    63.6 KB · Views: 102

kabisa ninauhakika kuna hawa jamaa bado wana vita kubwa ila tu wanatudanganya kua ni friends.

Chibu ndo kashashika usukani hiyo haina ubishi
 
najaribu kupiga passport mwakani tunachukua Kili ngapi...wasipoangalia tunachukua zote

Hahaha hata wakiangalia watajikuta hawapati kitu....


Kwa taarifa yao tuu.muda si mrefu Dogo nae ataenda bungeni hahaha kupeleka tatu bila hahaha wananunajeee
 

Tuzo!!
 
Masharik festival na WASAFI wanahusika wap majirani ni December 12 mombasa kenya
 
Masharik festival na WASAFI wanahusika wap majirani ni December 12 mombasa kenya

Hivi mpaka hapo zimefika shows ngapi jaman kwa December peke yake???
Watu watafuta vumbi sana aseee kwa hali hii.
Dogo punguza asee
 

Attachments

  • 1417694068560.jpg
    52.1 KB · Views: 107
  • 1417694083595.jpg
    49.8 KB · Views: 101
show tatu Dec hii

Kenya,Burundi,Rwanda,

Video inayo fuata tunaenda fanyia USA .
 

Mi nikidhani ukiwasha mtv base unamuona ally kiba ningeshangaa sana
 
Kiba huyo labda zianzishwe tuzo za ujinga na vigodoro may be atafikiriwa but international music atangoja sana..unless otherwise apunguze uswahili na wenzie sijui mashombe shombe wanajiita...big up diamond baba wema....

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

We utakuwa mpambe wake unampigia promo bosi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…