masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
angemiliki jumba lake bna mambo ya kupanga tena dah ci anavuta mkwanja mrefu ci ajenge jaman
Umkomeeeeeee nawe jiite Sadam Hussein
aisee ki ukweli sielewi management yake lakini
nafurahia mafanikio yake ya tuzo za glasi rangi ya gold na rangi ya shaba za mataifa mbalimbali,lakini pia kwa kufanya tanzania kujulikana kupitia mziki yaap
nice.but what is real nice is to have something real
kumiliki estate la maana,mi investment ya kutosha,yaap
i love his music though
angejiita john au paul wala tusingelalamika.haya mawazo ya majina ya kiarabu ni ugaidi sijui tumetoa wapi?
Lil wayne anajiita young mullah...mullah ni design ya bin laden...ilo la kwanza
Pili.. acha majungu wala kumkatisha tamaa anaetaka kufanya jambo.. kama ww unajua zaidi mic zipo nyingi embu kamata tukusikie..
Tatu, majungu kama hayo kwa mtoto wa kiume haipendez,
Ushauri.... unapotaka kubadilisha jambo kwa jamii anza kubadilika ww au toa mfano wa namna gan lifanyike... na ni bora kuelekeza nguvu kwenye kazi na sio ken majungu
Mbona unatoka povu wewe?
angemiliki jumba lake bna mambo ya kupanga tena dah ci anavuta mkwanja mrefu ci ajenge jaman
Labda anakula ujana kwanza atamalizia baadae. Lakini angejifunza kwa wenzake kama Camilion na Baby cool wanamiliki majumba yao.
kumbe bado kapanga sinza aisee jamaa angemiliki mjumba wake
ookey na vipi magari yake na rasilimali zingine...picha plz kama unazo
anamalizia swimmimg pool
hili pia huwa naliwaza SIJUI SABABU NI IPI
marehemu kanumba (R.I.P ) alifanyia msiba nyumba ya mwanaume mwenzake hapo alikua na almost 10 years katika uigizaji
kaacha kiwanja tu na alikua anapata mkwanja mrefu tu
TATIZO NI NINI JAMANI?????
Lile ni jumba kubwa la kifahari!Litakuwa limevunja record!Miss u sanaaa!wanaona MUNGU wao peke yao
Bora angebak na jina lake la domoli patinand linatosha kabisa
aisee very nice nahisi litakuwa na ukubwa kama la olympic maana ni muda sana kama 3 years linajengwa namuaminia jamaa kwa masapraiz nahisi litakua poaa sana
Aliye kwambia kujiita Bin laden ni kupromote ugaidi ni nani?[/QUOTE
Mkuu unataka jina au hojaa
Naomba kuona hoja zako!
Lile ni jumba kubwa la kifahari!Litakuwa limevunja record!Miss u sanaaa!
Lil wayne anajiita young mullah...mullah ni design ya bin laden...ilo la kwanza
Pili.. acha majungu wala kumkatisha tamaa anaetaka kufanya jambo.. kama ww unajua zaidi mic zipo nyingi embu kamata tukusikie..
Tatu, majungu kama hayo kwa mtoto wa kiume haipendez,
Ushauri.... unapotaka kubadilisha jambo kwa jamii anza kubadilika ww au toa mfano wa namna gan lifanyike... na ni bora kuelekeza nguvu kwenye kazi na sio ken majungu
Nina shida na wewe kinyama nyama....,