Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

angemiliki jumba lake bna mambo ya kupanga tena dah ci anavuta mkwanja mrefu ci ajenge jaman

hili pia huwa naliwaza SIJUI SABABU NI IPI
marehemu kanumba (R.I.P ) alifanyia msiba nyumba ya mwanaume mwenzake hapo alikua na almost 10 years katika uigizaji
kaacha kiwanja tu na alikua anapata mkwanja mrefu tu
TATIZO NI NINI JAMANI?????
 
aisee ki ukweli sielewi management yake lakini
nafurahia mafanikio yake ya tuzo za glasi rangi ya gold na rangi ya shaba za mataifa mbalimbali,lakini pia kwa kufanya tanzania kujulikana kupitia mziki yaap
nice.but what is real nice is to have something real
kumiliki estate la maana,mi investment ya kutosha,yaap
i love his music though

Labda anakula ujana kwanza atamalizia baadae. Lakini angejifunza kwa wenzake kama Camilion na Baby cool wanamiliki majumba yao.
 
Lil wayne anajiita young mullah...mullah ni design ya bin laden...ilo la kwanza

Pili.. acha majungu wala kumkatisha tamaa anaetaka kufanya jambo.. kama ww unajua zaidi mic zipo nyingi embu kamata tukusikie..

Tatu, majungu kama hayo kwa mtoto wa kiume haipendez,

Ushauri.... unapotaka kubadilisha jambo kwa jamii anza kubadilika ww au toa mfano wa namna gan lifanyike... na ni bora kuelekeza nguvu kwenye kazi na sio ken majungu

Wamekalia majungu badala ya kuchakarika kufanya kazi na wenyewe wamiliki hizo nyumba........

Post yake imakaa kimajungu majungu
 
Labda anakula ujana kwanza atamalizia baadae. Lakini angejifunza kwa wenzake kama Camilion na Baby cool wanamiliki majumba yao.

yaa leone yupo njema sana
ni role model maana ukijaribu kuangalia hakua na jingine lililompa mali zaidi ya muziki tofauti na davido baba ake yuko njema au letsay prezoo
 
hili pia huwa naliwaza SIJUI SABABU NI IPI
marehemu kanumba (R.I.P ) alifanyia msiba nyumba ya mwanaume mwenzake hapo alikua na almost 10 years katika uigizaji
kaacha kiwanja tu na alikua anapata mkwanja mrefu tu
TATIZO NI NINI JAMANI?????

wanaona MUNGU wao peke yao
 
aisee very nice nahisi litakuwa na ukubwa kama la olympic maana ni muda sana kama 3 years linajengwa namuaminia jamaa kwa masapraiz nahisi litakua poaa sana


inawezekana labda kuna siku waliziweka nyumba zake hapa
 
Lil wayne anajiita young mullah...mullah ni design ya bin laden...ilo la kwanza

Pili.. acha majungu wala kumkatisha tamaa anaetaka kufanya jambo.. kama ww unajua zaidi mic zipo nyingi embu kamata tukusikie..

Tatu, majungu kama hayo kwa mtoto wa kiume haipendez,

Ushauri.... unapotaka kubadilisha jambo kwa jamii anza kubadilika ww au toa mfano wa namna gan lifanyike... na ni bora kuelekeza nguvu kwenye kazi na sio ken majungu

nacho fahamu Mullah ni cheo ama ngazi ya elimu ambayo amefikia muumin wa kiislam...kama uonavyo Mufti,Ayatollah n.k
 
Huyu jamaa ana publicity stunts mingi sana. Ngumu kujua kama anakosea au ni hizo sarakasi. Kiishiacho vema, kilikua chema.

Ajabu kama hana Range Rover Autobiography yenye 'name-plate' yake.

Najivunia mafanikio yake ijapo simpendi kihiivyo.......
 
Back
Top Bottom