wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
kitu alicho kifanya domo jana acheni kabisa alikiba nenda tena uka vuke mtoo huyu jama si dhani kama uta mpata. domo ni fundi wa mziki .kwa dizaini ile domo hachuji leo wala kesho.. duuuuh.....
huyo jamaa ni shabiki wa wasanii wote duniani isipokuwa diamond.sijui kamfanyaje had ana mchukia
na ameshinda dhidi ya Ali Kiba na wengine iwe noted.
wakuu, chige christmas BestOfMyKind Innocizy Kim nana nakumbuka wakati Kiba anarudi nilikuwa nakoment hapa kwamba washabiki wasimjaze ujinga kosa kubwa sana analofanya ni kurudi huku anajitanabaisha kaja kupambana na Diamond, watu hawakunielewa nikaitwa majina mengi.
Niliwaambia kama Kiba ameamua kupambana na Diamond basi inatakiwa apambane kweli kweli mpaka amfikie au amzidi coz akishindwa kuonyesha upinzani atazidi kumpa nguvu diamond na yeye atakuwa amejizika rasmi. Na kwenye hili kazi ndio itaamua, yanaanza kuonekana sasa.
Kiba alifanya makosa kurudi kwa gear ya kumchallenge diamond yeye angekuja na muziki wake, asingeonyesha kinyongo kwa mwenzie coz akumnyang'anya chochote na angeeleweka sana kwa watu haswa mashabiki die hards wa diamond ambao ni wengi na Kiba automatically aliwageuza kuwa wapinzani wake bila kujijua.
Na ukiangalia mashabiki wa sasa wa Ali Kiba sio mashabiki wa kweli wa Kiba coz hawakuwai kuwa mashabiki wa Kiba hapo mwanzo wengi ni haters wa Diamond ambao waliamini wanaweza kumtumia Kiba kumnyoosha Dai. Mashabiki wa kweli wa Kiba sio watu wa kelele wanajulikana ata nature ya mziki wa Kiba inajieleza, awa mashabiki wa mpito ndio wanaomuaribu Kiba.
Nakumbuka kuna thread nilieleza mengi baada ya ile zomeazomea
mmmmh huyu jamaa noumer sana
zai katoto huyo Matola ni loser habari zake zinajulikana sana umu jf, ni milungi addict na ana mkono mrefu....Kikubwa anachochukia kwa dangote ni mafanikio.
Wakati yeye umillionea wake inaishia kwenye thread za jf mwenzake chibu anafanya kweli,mtoto mdogo anapush ndinga kali mijengo kama idadi ya vidole vya matola tena mjini hapa hapa, account nene, mabebez ndio usiseme, mitikas kila akiamka inakuja mipyaaa na pesa ndefu....Kuna kijana asiyependa maisha kama aya akiwa under 30 yrs? sasa dizain ya akina matola badala ya ku-hustle wana hate yani pure uswahili.
Ulichosema matumbo ni true... Kiba alitakiwa kuja kimya kimya kwa sababu ukiangalia mashabiki wengi wa Chibu hawana tatizo na Kiba; tatizo lilikuja pale aliporudi na nyodo huku mashabiki wake maandazi ambao walijawa na nongwa miaka yote hii wakdhani ndo basi tena! Kutokana na hilo, akina sisi ambao tulikuwa tunam-support vile vile kwa kuwa tunachojali ni muziki mzuri...sawa na unapokuwa shabiki wa Man U huku ukitoa respect Arsenal hata kama hawana vikombe; hatimae ndipo tukaja kuona kumbe ni uboya pale mashabiki wa Kiba walipoanza nyodo za kipuuzi ambazo kimsingi hadi leo hata wenyewe ukiwauliza ni mafanikio gani wanayopigia kelele sidhani kama ana jibu... zaidi ya midume mizima kukesha mitandaoni kushikia umalaya wa wanaume wenzao utafikiri ni wao ndio walitaka wachukue hiyo nafasi ya akina Zari!
Kwamba mashabiki wengi wa Kiba tunaowaona hapa sio mashabiki kindaki ndaki wa Kiba ni very true... hata mimi nishawahi kusema hapa... hawa wengi wao ni haters walioingia kwa mtindo wa adui wa adui yako ni rafiki!!
Mamboo?
alikuwa na mzee yusuph na kama unavyofahamu taarab na mbagala
Mamndenyi nilivyosikia show hiyo walikuwepo pia wasanii wengine wakiwamo wa Taarabu. Na kama tujuavyo taarabu nayo inao wapenzi wengi sana. Iweje atajwe mmoja tuu kuwa ndiye aliyesababisha wingi wa watu?Kila ka kheri Diamond,
Aliyetoka katoka tu.
alikuwa na mzee yusuph na kama unavyofahamu taarab na mbagala
Mfalme,jahazi popote nyomi ya kufa mtu lazima
Mamndenyi nilivyosikia show hiyo walikuwepo pia wasanii wengine wakiwamo wa Taarabu. Na kama tujuavyo taarabu nayo inao wapenzi wengi sana. Iweje atajwe mmoja tuu kuwa ndiye aliyesababisha wingi wa watu?
kitu alicho kifanya domo jana acheni kabisa alikiba nenda tena uka vuke mtoo huyu jama si dhani kama uta mpata. domo ni fundi wa mziki .kwa dizaini ile domo hachuji leo wala kesho.. duuuuh.....
Matola vipi tena? Mie na hayo mambo wapi na wapi? Mie nimeuliza kuwa nimesikia walikuwepo na wengine mbona anatajwa mmoja tuu? Kosa langu liwapi hapo? Kazi ya huyo kijana hata mie naiona na nafurahishwa na juhudi zake ila nilitaka kujua hilo tuu.Kumbe na nyinyi ni haters ehee!? Mzee Yusuf anamjuwa nani? Labda akafanye show masaki na Jahazi lake.