Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Chibu kampa happy bday AY na kumshukuru kwa kumintroduce kwa Godfather etc, ila nilivyoingia kwenye insta ya AY nimekuta hajawahi kumpa sapoti hata kamoja recently katika kuwania tuzo.

Nahisi lazima ameingia wivu nae, sababu Chibu yupo clean na ameandika ujumbe mzuri tu kama kawaida ya mtu atafanya kushukuru. Ila AY sasa ndio kwanza anampa promo wa Uganda kupigiwa kura na vanessa tu sio Diamond. Kweli wivu mbaya, kwa hiyo wote wakae chini wasing'ae au?

Mkuu angalia vizuri bana AY hajampa Promo V money peke ake mtv kuna moja pia kampa support Chibu pia
 
Chibu kampa happy bday AY na kumshukuru kwa kumintroduce kwa Godfather etc, ila nilivyoingia kwenye insta ya AY nimekuta hajawahi kumpa sapoti hata kamoja recently katika kuwania tuzo.

Nahisi lazima ameingia wivu nae, sababu Chibu yupo clean na ameandika ujumbe mzuri tu kama kawaida ya mtu atafanya kushukuru. Ila AY sasa ndio kwanza anampa promo wa Uganda kupigiwa kura na vanessa tu sio Diamond. Kweli wivu mbaya, kwa hiyo wote wakae chini wasing'ae au?

AY namheshimu sana ila naona anaanza kuwa mswazi.

So far anapotea taratibu hahahah atabaki jina.

Aache ujinga yeye ni legend hapa bongo atoe sapoti kwa vijana wake bila ubaguzi.
 
Chibu kampa happy bday AY na kumshukuru kwa kumintroduce kwa Godfather etc, ila nilivyoingia kwenye insta ya AY nimekuta hajawahi kumpa sapoti hata kamoja recently katika kuwania tuzo.

Nahisi lazima ameingia wivu nae, sababu Chibu yupo clean na ameandika ujumbe mzuri tu kama kawaida ya mtu atafanya kushukuru. Ila AY sasa ndio kwanza anampa promo wa Uganda kupigiwa kura na vanessa tu sio Diamond. Kweli wivu mbaya, kwa hiyo wote wakae chini wasing'ae au?
angalia vizur kampa sapoti dangote mbona
 
angalia vizur kampa sapoti dangote mbona

Mkuu angalia vizuri bana AY hajampa Promo V money peke ake mtv kuna moja pia kampa support Chibu pia

Kama ameandika ktk caption ndio nini, wengi upitia na kubonyeza picha au kideo kusoma kikiwavutia.

Picha nyingi zipo instagram hata humu za kutangaza ni tuzo gani anawania kwa nini hajarusha? Mie ndio hilo tu.

Kama ya chameleone ameweka ameshindwaje ya Chibu. Wivu tu umewajaa
 
Kama ameandika ktk caption ndio nini, wengi upitia na kubonyeza picha au kideo kusoma kikiwavutia.

Picha nyingi zipo instagram hata humu za kutangaza ni tuzo gani anawania kwa nini hajarusha? Mie ndio hilo tu.

Kama ya chameleone ameweka ameshindwaje ya Chibu. Wivu tu umewajaa

Kweli kabsa sio a.y hata mwana fa nae
 

Attachments

  • 1436106384227.jpg
    1436106384227.jpg
    30.4 KB · Views: 166
Chibu kampa happy bday AY na kumshukuru kwa kumintroduce kwa Godfather etc, ila nilivyoingia kwenye insta ya AY nimekuta hajawahi kumpa sapoti hata kamoja recently katika kuwania tuzo.

Nahisi lazima ameingia wivu nae, sababu Chibu yupo clean na ameandika ujumbe mzuri tu kama kawaida ya mtu atafanya kushukuru. Ila AY sasa ndio kwanza anampa promo wa Uganda kupigiwa kura na vanessa tu sio Diamond. Kweli wivu mbaya, kwa hiyo wote wakae chini wasing'ae au?

Ile wishes ya happy birthday hadi mwili umenisisimka aisee, he is too humble chibu wetu jamani!
 
Back
Top Bottom