Mwenyewe sahivi nshakua kama tena wa diamond ha ha kakiwekwa ka link kake nshaenda kama ni kura naanza na nshaenda you tube kujisubscribe huu uteja sasa
Mwenyewe sahivi nshakua kama tena wa diamond ha ha kakiwekwa ka link kake nshaenda kama ni kura naanza na nshaenda you tube kujisubscribe huu uteja sasa
Ahahaha mi humu ndani waangaliaji wa mpira ndio wanalipia hicho kifurushi!mie kutoa lakimbili kasoro shilingi moja siwezi kwa kweli!muda wa kuangalia hiyo TV ni mdogo halfu nitoe lakimbili?
DSTV Mnatuuua!! 199,000 kwa Premium package ni ghali mno jamani mbona hiviii?mpira tunataka na diamond tunataka tumuone aaarghh
Mi nikiingiaga you tube huwa naangalia hadi behind the scenes za video zakeahahaha nakwambia huu ushabiki ushakua ugonjwa sasa!mie nilijisubscribe mwezi wa tatu!!
Mi nikiingiaga you tube huwa naangalia hadi behind the scenes za video zake
Mi hata sijui kinalipiwa bei gani! #Kwahisaniyashemejiyenu
Kwa hizo mb 8 shauri ako ha ha ha, nimeipenda behind the scenes ya nana nzuri, salama jabir,madam Rita na mtoto mzuri zarinah walikuwepo piaduh!sikuwezi,ngoja namie nikaangalie behind the scene looh
Kwa hizo mb 8 shauri ako ha ha ha, nimeipenda behind the scenes ya nana nzuri, salama jabir,madam Rita na mtoto mzuri zarinah walikuwepo pia
Yap wale marafikiahahaa ila madame rita na Zari nahisi ni mashosti
Namwona yemi alade akiimba kwa kiswahili nendeni kwa dalalimwanamke mkamcheki hahahahah
Diamond safi sana lugha inatanuka sasa.
Hainaga kurembaaaaView attachment 268925View attachment 268924
Hapo veeepeeee!!!
Jamani jamani sio fair hivi hahahahahaha .
Watu na levo zao.
Collabo muhimu n wam sainishe neyo baada ya kufanya collabo ili iende international zaidi icje tokea ya p.square n rick ross