Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hakuna kupagawa mwalimu mzima unaharibu kiswahili,au unafundisha stadi za kazi?

Bina kuna uzi wa kiba kule chinii au ndo kimtindo ushazimika kwa wasafiiiiiiii
 
jamaa anajua kuimba ila anaasil flan ya misifa eb mchek hapa
 

Attachments

  • 1.png
    159.7 KB · Views: 238
Tukubali tusikubali diamond ameupeleka mziki mbali nabado anakimbiza
 
Jamani mmeitazama "barua kwa diamond" umeimbwa na Dogo toka iringa....ni nzuri na inaelekea diamond atamsaidia yule jamaa...


A real superstar anatungiwa nyimbo jamani....a real superstar jina lake litatumika na watu ili watoke.


Lakini zaidi jina lake litatumika na wwliojiishia ili na wao wasikike tena
 

Nimeiona leo Jamaa kajitahidi sana,

Anaitwa Demo kama sijakosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…