Napenda sana nyimbo zake ila nitafurahi akianza kupiga live show na kuachana na show za kutumia CD
uzi umebuma hadi aibu kiba hatumii uganga kupanda chat ni sauti aliobarikiwa dadamond muda si mrefu utakufa kifo cha mende unaanza kuzinguana na akina mama huruma kina wema shauri yako
nenda kwAmwambie hii ni sauti ya rais iliyo mshindaga
ibilisi kwa mwanadaresalama sio rahisi....mwambie ajue
kutofautisha msalaba na + ,x na kuzidisha....ha ha ha ha mtaa wa saba
wamepanic!!!
alonifanya silalii, jua kaliii nitafute tukalee..... lakini hata hakujalii..... darling... akatekwa na waleee.....
hapana chezea aisee nishaimeza, ngoma iko poa sana fanya kuchomeka earphone usikilizie vitu lol hatariiiiii
Wana jifanya wana ponda kumbe wanaumia wana imba kimya kimya jirani wana shida sana.
kwenye CELEBRITY FORUM main page ina THREADS ZA DIAMOND 16!!!!! Huwezi kuwa nobody ukapata threads 16 kwenye page moja...DIAMOND TANZANIA HII NI ZAIDI YA MWANAMUZIKI NI BRAND...........HATA KAMA HUMKUBALI HUO NDIO UKWELI
Diamond akitoa wimbo kama kawaida mara ya kwanza unaposikika unaonekana kama hovyo,subiri mda kama wiki mbili utashangaa ndo unaanza kuvuma
Diamond akitoa wimbo kama kawaida mara ya kwanza unaposikika unaonekana kama hovyo,subiri mda kama wiki mbili utashangaa ndo unaanza kuvuma
Mimi kama shabiki wa muziki ni,siye na team yoyote sijui kiba sijui diamond nasema hivi mashabiki msimdanganye kijana wetu
Diamond level yake ya,muziki inashuka tena kwa kasi mnooo hebu angalia nyimbo kama boom boom mdogo,mdogo na,huu nitampata wapi jamaa hajafika kwenye level yake
Ukwel ni kwamba wema na diamond hawajaachana kijana ametumia hii kitu kama kawaida yake ku creat attention yetu ili atoe ngoma mpya ambayo ni nzuri ingawa haijafika level zake
ukiangalia kwa makini karudia sauti tu za nyimbo zake kama mawazo na,kubana sauti but hakuna kipya.......Tumwambie ukweli kijana,wetu ili muziki wetu ukue siyo kushuka
Samahani kwa,wale mahaba niue au mahaba nipofue...
Dinazarde embu watangazie, wale waliokuwa wanasubiri lift ya kubebewa kavideo kao ka mwanadareslam ndio wawahi kituoni, gari la platnumz ndio limetoka, wasije tena wakazubaa wakapitwa wakaanza oooh!! jamaa mchoyo, wachangamkie fursa hii.Wenye wivu mfe tu jaman naona pumzi ndogo, ,Daimond Shikamooooo
huu wimbo kuna sehemu beat,tune na melody zinaendana na wimbo wa Shetta kerewa,na pia inafanana na baadhi ya nyimbo zake alizotoa.Wimbo wa kawaida sana
Bado anajia ndoto Badaooooooooooo,
ananifanya nimuote badoooo
haki ya Mungu sio Rahisi