Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamondi kamaliza mchezo, waliosema Mond anasafiri na nyota ya Wema wamenoa Sasa anasafiri na ya Zari, baada ya hapo atatafuta mrembo wa Kenya atamalizia wa Rwanda ndio anarudi Tz kuoa miss tz wa 2016

wema bla shaka atakuwa ana kanuksi kidogo maana kaondoka yeye tu milango imefunguka
 
Hawana hawana LA kusema hawana...
Anaunguruma unguruma LA kusema hawana....

Hawamuwezi ndo mana wanamsemaaa
Hawamuwezi ndo maana wanamchukiaaaa

Na badooooo....wakaoge wasugue na makwapa.....

Ikiwezekana wasugue na gaga
 
Inasikitisha sana mtaa wa pili wanapokosa cha kujadili et now wanajadili ndondo cup
 

hahahahahahahh nimecheka balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…