zai katoto
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 325
- 227
Diamondi kamaliza mchezo, waliosema Mond anasafiri na nyota ya Wema wamenoa Sasa anasafiri na ya Zari, baada ya hapo atatafuta mrembo wa Kenya atamalizia wa Rwanda ndio anarudi Tz kuoa miss tz wa 2016
wema bla shaka atakuwa ana kanuksi kidogo maana kaondoka yeye tu milango imefunguka