Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Salaamu zangu za kwanza aah zende kwa mola na mama,
Za pili...................
 

Attachments

  • 1415994580664.jpg
    1415994580664.jpg
    48.7 KB · Views: 115
  • 1415994596471.jpg
    1415994596471.jpg
    55.9 KB · Views: 107
  • 1415994612215.jpg
    1415994612215.jpg
    56.1 KB · Views: 108
  • 1415994632972.jpg
    1415994632972.jpg
    56.7 KB · Views: 96
Almas ni rahisi sana kukaa pamoja na dhahabu kwasababu vyote vinauzika.
 

Attachments

  • 1415994815175.jpg
    1415994815175.jpg
    50.6 KB · Views: 111
Me nliona aibu kuserebuka mbele za watu lol...ila hatari sana. Mashost wamecheza hadi jashoo....

Utaachajee mi siwezii ule mdundo hunipa kiwewe
Ni sawasawa ipigwe shake your body weeeeee
 
Haha hahaha .. kama nakuona diamond noma. .. niko insta na popcorn flora lymo kanunua ugomvi na mange .. michambo 1st class

Leta hizo screenshot basi na sie tuone mtanangeeeee
 
Binadamu turudi kwetu hapa wanakuchokoza ili uwajazie page au ujaona mtu mmoja anabandika post 10 kwa. Dakika 2? Kiba anakaribia page ya 70 kule kwetu.

aliyeanzisha huu uzihakuwa na malengo ya kujaza page au mashindano ya page......hata hivyo bila kuanzisha bif na dai hako kathread chenu mngejadili na nani sjui
 
quote_icon.png
By geniveros
hahahaaaaaa
watu mna maneno jamani



Ushuzi wao wakajambe huko kwenye thread waliotuiga na imebuma.

Naomba na nasisitiza tena tuheshimu Le Tamkooz, haturuhusiwi kwenda kucomment mtaa wa pili wa waigizaji, tubaki hapa kwa raha zetu, waacheni wadode na siredi yao ya kutuiga, hawana ubunifu kabisa hawa viumbe.​




  • katika pitapita zangu nimekutana na hii kutoka kwa mashabiki wa ally kiba.........nilikuwa sijui kumbe kuanzisha special thread ni kuwaiga Team kiba......???

    hivi kumbe hadi Jf kuna marathon za kuanzisha thread maana naona mpaka watu wanakatazana wasije humu kweli Dimond anatisha kama Tezi Dume
 
quote_icon.png
By geniveros
hahahaaaaaa
watu mna maneno jamani



Ushuzi wao wakajambe huko kwenye thread waliotuiga na imebuma.

Naomba na nasisitiza tena tuheshimu Le Tamkooz, haturuhusiwi kwenda kucomment mtaa wa pili wa waigizaji, tubaki hapa kwa raha zetu, waacheni wadode na siredi yao ya kutuiga, hawana ubunifu kabisa hawa viumbe.​




  • katika pitapita zangu nimekutana na hii kutoka kwa mashabiki wa ally kiba.........nilikuwa sijui kumbe kuanzisha special thread ni kuwaiga Team kiba......???

    hivi kumbe hadi Jf kuna marathon za kuanzisha thread maana naona mpaka watu wanakatazana wasije humu kweli Dimond anatisha kama Tezi Dume

Hahahaaaaaaaa......eti tezi dumee...
 
quote_icon.png
By geniveros
hahahaaaaaa
watu mna maneno jamani



Ushuzi wao wakajambe huko kwenye thread waliotuiga na imebuma.

Naomba na nasisitiza tena tuheshimu Le Tamkooz, haturuhusiwi kwenda kucomment mtaa wa pili wa waigizaji, tubaki hapa kwa raha zetu, waacheni wadode na siredi yao ya kutuiga, hawana ubunifu kabisa hawa viumbe.​




  • katika pitapita zangu nimekutana na hii kutoka kwa mashabiki wa ally kiba.........nilikuwa sijui kumbe kuanzisha special thread ni kuwaiga Team kiba......???

    hivi kumbe hadi Jf kuna marathon za kuanzisha thread maana naona mpaka watu wanakatazana wasije humu kweli Dimond anatisha kama Tezi Dume

watoto hao wana shindana kujaza page kwenye sred.
 
Mswahili mnafki sana...
Hapo akiwa analala usiku anamtumia baby wake dedication "ukilala lala salama kumbatia picha yangu"

Sasa kama dai angeimba ukimwi sijui angemdediketia nn baby wake hahaha.....



Binadamu,mabomu gongo la mboto sijui nazo mapenzi????

ha ha ha.....
 
Nampenda diamond ila haimaniishi namchukia Kiba, sio kweli kuwa nyimbo za Domo zinapendwa kwenye vigodoro.

Angalia amealikwa sehemu ngapi, ameshiriki tuzo ngapi na ameshirikiana na wanamziki wangapi.

Ina maana huko kote wanapenda vigodoro hadi aalikwe.

Napenda tuwe na kina diamond hata kumi ndani ya nchi yetu, ila kila mtu afanikiwe kwa juhudi zake sio kwa mgongo wa mwenzie na chuki binafsi.

Siku hizi mziki biashara na ndio anachofanya domo ndio maana skendo kwanza wimbo unafuata then show zinajipanga.

Mwacheni Kiba atumie uwezo wake kuteka soko la mziki.

Mwacheni domo aitangaze Tanzania kwa mziki wake mzuri wa kibiashara.

Kama shabiki wa diamond Namshauri aanze mazoezi ya bend hata kama hana vyombo awe anakodi mara mojamoja baadae anakua mzoefu mbona FA aliwai kupiga na wananjenje.

Kiba aanze kufanya mziki wa biashara sio watu wanasifia halafu baadae wanaenda kulipa kiingilia 50000 kwa domo.

haya sasa.
 
Back
Top Bottom