Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

watoto hao wana shindana kujaza page kwenye sred.

unajua nn sisi hatuwezi shindana nao hayo mashindano ya kipuuzi, tufanye yetu maana wangekuwa sane hata kidogo wagendua kuwa dimond ndo anayejaza jukwaa hili sio thread...almost thread zote za jukwaa hili zinamuhusisha dai sasa ya nn tuzungumzie thread
 
unajua nn sisi hatuwezi shindana nao hayo mashindano ya kipuuzi, tufanye yetu maana wangekuwa sane hata kidogo wagendua kuwa dimond ndo anayejaza jukwaa hili sio thread...almost thread zote za jukwaa hili zinamuhusisha dai sasa ya nn tuzungumzie thread

Kama wana akili timamu hii point wata izingatia.
 
labda uwe na chuki binafsi na DIAMOND.......lakini kwa sasa hivi huwezi kumfananisha na muimba bongo flavar yoyote hapa bongo.....hit after hit kila leo na bado,niliwahi kumsikia akisema ana nyimbo kibao maktaba hajazitoa....sasa huyo wanaejaribu kumfananisha nae kakaa miaka mingapi hata kutoa single moja hawezi kaja na wimbo so average inabidi watu wampigie promo asipotee tena.
 
eti ali kiba anajaza thread pages 70......DIAMOND anajaza hit after hit na bank account!
 
labda uwe na chuki binafsi na DIAMOND.......lakini kwa sasa hivi huwezi kumfananisha na muimba bongo flavar yoyote hapa bongo.....hit after hit kila leo na bado,niliwahi kumsikia akisema ana nyimbo kibao maktaba hajazitoa....sasa huyo wanaejaribu kumfananisha nae kakaa miaka mingapi hata kutoa single moja hawezi kaja na wimbo so average inabidi watu wampigie promo asipotee tena.
Hapo umenena Mkuu!Kwa sasa Diamond ametumia fursa,kafanikiwa kweli kweli....ana marketing strategies nzuri!Hongera kwa hilo but sidhani kama ana nyimbo iliyotamba kama ya MB Dog (Latifa) au Vaileth ya Matonya kwa kipindi kile even Cinderalla ya Ally kiba.....
Ushaur wangu asimuache WEMA SEPETU coz ana play part kubwa sana ktk marketing ya Dogo.......
Mkuu rudi kule kwako kwa VAN GAAL .....huku naona unapwaya sana!ha ha ha ha!natania tu
 
labda uwe na chuki binafsi na DIAMOND.......lakini kwa sasa hivi huwezi kumfananisha na muimba bongo flavar yoyote hapa bongo.....hit after hit kila leo na bado,niliwahi kumsikia akisema ana nyimbo kibao maktaba hajazitoa....sasa huyo wanaejaribu kumfananisha nae kakaa miaka mingapi hata kutoa single moja hawezi kaja na wimbo so average inabidi watu wampigie promo asipotee tena.

Shikamoo RRONDO....
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha Shida sana,

Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri anadeal la kupiga show Rwanda Mwisho wa Mwaka huu,,
Namuombea Mema sana Kijana wetu,

Atapiga siku ya mwaka mpya....wengine mwaka mpya watakua leaders labda hahahahaha......mtu anaenda kupiga amahoro stadium juu kakaa Kagame,si mchezo atiiiii
 
labda uwe na chuki binafsi na DIAMOND.......lakini kwa sasa hivi huwezi kumfananisha na muimba bongo flavar yoyote hapa bongo.....hit after hit kila leo na bado,niliwahi kumsikia akisema ana nyimbo kibao maktaba hajazitoa....sasa huyo wanaejaribu kumfananisha nae kakaa miaka mingapi hata kutoa single moja hawezi kaja na wimbo so average inabidi watu wampigie promo asipotee tena.

Hapo ktk library ya wimbo ngoja nijaribu kuwa msemaji wake hahaha.


1.kuna ngoma na mafikizolo
2.ngoma na dbanj
3.ngoma na waje
4.tray songs
5.wengine ntaendelea baadae,na Hawa wote ni watu maarufu afrika na duniani hahahahaha.....



Ukiona mpaka rais anakuita anakuuliza kijana unataka usaidiwe vipii bhasi ujue kazi yako si ya kitoto......tutaendela kudanganyana ooooh sauti nzuri oooh Kipaji,sauti nzuri my foot,work hard so ur hard work will determine ur collections....
Sasa kollabo mtu ufanye na abdu nani sijui afu mwenzako anaachia kitu na mafikizolo utampata lini??????????????
 
eti ali kiba anajaza thread pages 70......DIAMOND anajaza hit after hit na bank account!

Hao jamaaa akili hawana kaka....Uzi ule unakaribia wiki tatu ndo una page 70 na page karibu 30 wadau wa diamond walienda kuwaponda baadae wakagundua tunawapa kick wakaacha....


Sasa Uzi huu hata siku tatu bado upo page ya 33 hahaha......yaani watu wanakua na chuki mpaka wanasahau....

Na mm hua nashangaaa mtu akinambia Fulani ndo mfalme wa hiki just kwa vinyimbo vya maisha club nonsense.
 
Hapo umenena Mkuu!Kwa sasa Diamond ametumia fursa,kafanikiwa kweli kweli....ana marketing strategies nzuri!Hongera kwa hilo but sidhani kama ana nyimbo iliyotamba kama ya MB Dog (Latifa) au Vaileth ya Matonya kwa kipindi kile even Cinderalla ya Ally kiba.....
Ushaur wangu asimuache WEMA SEPETU coz ana play part kubwa sana ktk marketing ya Dogo.......
Mkuu rudi kule kwako kwa VAN GAAL .....huku naona unapwaya sana!ha ha ha ha!natania tu

Hapo kwenye red hapo totally false comparison....

angalia hii list hapa chini then niambie ngoma gani hapo utaifananisha na hizo za hapo juu!!

1.kamwambie
2.mbagala
3.nitarejea
3.nimpende nani
4.moyo wangu
5.kizaizai
6.ukimwona
7.nataka kulewa
8.nataka "kesho"nikupeleke kwa mama
9.number 1.
10.kitorondo

chagua mwenyewe truck 1 kati ya hizo hits then upambanishe na nyimbo zote ulizo zitaja hapo juu uone kitakacho tokea.
 
Hapo kwenye red hapo totally false comparison....

angalia hii list hapa chini then niambie ngoma gani hapo utaifananisha na hizo za hapo juu!!

1.kamwambie
2.mbagala
3.nitarejea
3.nimpende nani
4.moyo wangu
5.kizaizai
6.ukimwona
7.nataka kulewa
8.nataka "kesho"nikupeleke kwa mama
9.number 1.
10.kitorondo

chagua mwenyewe truck 1 kati ya hizo hits then upambanishe na nyimbo zote ulizo zitaja hapo juu uone kitakacho tokea.

cd yenye collection naweza kununua hata kwa 50,000/-..........hivi kwani hawatengenezi kitu kama 'DIAMOND TOP 10 HITS' AUDIO/VIDEO CD COLLECTION??? Mpaka tunaenda kuburn vibandani?!
 
cd yenye collection naweza kununua hata kwa 50,000/-..........hivi kwani hawatengenezi kitu kama 'DIAMOND TOP 10 HITS' AUDIO/VIDEO CD COLLECTION??? Mpaka tunaenda kuburn vibandani?!

Hapa ndipo tunapo sema wasanii wana takiwa wawe wabunifu,sasa truck kali kama hizo unaziacha zina elea tu daah si hasara hiyo?
 
Hapa ndipo tunapo sema wasanii wana takiwa wawe wabunifu,sasa truck kali kama hizo unaziacha zina elea tu daah si hasara hiyo?

management zao ndio tatizo....walitakiwa wawe wabunifu kama unavyosema,ni rahisi tu unatengeneza cd unaanda concert kiingilio 20,000 au 30,000 cd unagawa bure!!
 
Hapo ktk library ya wimbo ngoja nijaribu kuwa msemaji wake hahaha.


1.kuna ngoma na mafikizolo
2.ngoma na dbanj
3.ngoma na waje
4.tray songs
5.wengine ntaendelea baadae,na Hawa wote ni watu maarufu afrika na duniani hahahahaha.....



Ukiona mpaka rais anakuita anakuuliza kijana unataka usaidiwe vipii bhasi ujue kazi yako si ya kitoto......tutaendela kudanganyana ooooh sauti nzuri oooh Kipaji,sauti nzuri my foot,work hard so ur hard work will determine ur collections....
Sasa kollabo mtu ufanye na abdu nani sijui afu mwenzako anaachia kitu na mafikizolo utampata lini??????????????

Na mafikizollo kashilikishwa

Na waje kashilikishwa pia
Alafu waje ni sawa na shilole tu

Iyo ya trey songz uzushi wako 😂😂😂😂

Dbanji creativ stry kama ile ya kutunukiwa shaada

Acheni ushabiki Wa kipumbavu tujalibu kupnda vya kwetu
Keep it up Mond kwa mziki mzur
👍👍mavoko ,dimpoz,vee money
👎👎👎kiba,ay ,PhD hemed etc

👆👆atakae reply ujinga ana tofauti na Sera za kimarekani
 
Na mafikizollo kashilikishwa

Na waje kashilikishwa pia
Alafu waje ni sawa na shilole tu

Iyo ya trey songz uzushi wako 😂😂😂😂

Dbanji creativ stry kama ile ya kutunukiwa shaada

Acheni ushabiki Wa kipumbavu tujalibu kupnda vya kwetu
Keep it up Mond kwa mziki mzur
👍👍mavoko ,dimpoz,vee money
👎👎👎kiba,ay ,PhD hemed etc

👆👆atakae reply ujinga ana tofauti na Sera za kimarekani

Kaka kama hujui kaa kimya tuu
 
Back
Top Bottom