Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
Topic: Diamond kuchimba visima na kujenga
madawati shule za Tandale
By mr gentleman
Aliyasema haya wakati anaongea na XXL ya
Clouds fm leo mchana baada ya kuulizwa
umefanya nini kusaidia jamii.
Amesema yapo mengi ameyafanya lakini hawezi
yasema kwani ni kama sadaka....ila kwa hivi
karibuni ametoka kwenye shule za Tandale
kuuliza wanahitaji nini anachoweza kusaidia. Ndio
akaona ishu ya msingi kwa sasa ni maji hivyo
atachimba visima na kuwajengea madawati
kupunguza watoto kukaa chini walau wakae level
seat .
madawati shule za Tandale
By mr gentleman
Aliyasema haya wakati anaongea na XXL ya
Clouds fm leo mchana baada ya kuulizwa
umefanya nini kusaidia jamii.
Amesema yapo mengi ameyafanya lakini hawezi
yasema kwani ni kama sadaka....ila kwa hivi
karibuni ametoka kwenye shule za Tandale
kuuliza wanahitaji nini anachoweza kusaidia. Ndio
akaona ishu ya msingi kwa sasa ni maji hivyo
atachimba visima na kuwajengea madawati
kupunguza watoto kukaa chini walau wakae level
seat .