Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

[QUaOTE=Evelyn Salt;11473295]ha ha ha wasio na hela wanaonekana wana mashipa sio dushe....[/QUOTE]

Subiri Hvo Vitumbua Vyenu Vimwagiwe Mchanga Sijui Kama Mtakuwa Na Mvuto
 
Katika 100........wanajua 2..........wengine waliobaki kutwa kulalamika wanapigwa mizinga........maniner........simamieni kucha muone kama hamjahongwa nyie........malabuku.........

Duh! Raia mmejitoa ufahamu.... Lol!
 
Lol! Jamaa naona anapita kule diamond alikopita miaka 47 iliyopita, kavujisha wimbo unaitwa "hela" swali ni je! Wimbo unavuja hadi na cover???? Au mi ndio sielewi maana ya wimbo kuvuja?

lazima aige hana ujanja
 
Zari alifanya hivyo ili amtumie Diamond ktk part yake bila malipo, na amefanikiwa, sasa kama Diamond ataingia penzini ndiyo hapo mtakapomuonea huruma, kwa wanawake hata kama ana milioni wewe una laki ataitamani laki yako au utalipa bill ya matumizi mkiwa nae.

mwana umeongea ukweli kabisa hapo...chezeya wanawake wewe
 
afu eti sio mhogo ana hogo

Kumbe ndiyo maana kapata zali kwa Zari?
howwe_07d1a17d0ceb08e5ca719bba1debda42_1418986629.jpg7enBZBA.jpg

I7EGhBt.jpgM55oKAF.jpg
 

Attachments

  • howwe_07d1a17d0ceb08e5ca719bba1debda42_1418986629.jpg
    howwe_07d1a17d0ceb08e5ca719bba1debda42_1418986629.jpg
    22.5 KB · Views: 183
wanawake hupenda simple things,,,,usikute ule mdomo wake girls wanauzimika kwa ajili ya kuu taste romance yk inafilaje.,,,dada zetu wanamambo sana!
 
From Mange, U-turn.

Hii interview dah, imenisikitisha mnoooooo, kwanini anaongea sasa huyu jamaaa? why tell people Penny alitoa mimba zake mbili? Hivi anajua implication ya hiyo kitu kwenye maisha ya Penny? kwanza it's illegal kutoa mimba in Tanzania. Pili Penny anatoka familia ya kiislam, ana kaka zake, mama yake na ndugu zake. Kweli watamwangaliaje binti yao kujua alitoa mimba mbili za huyu jamaa?

Acha hiyo tu , Penny bado ni mdogo anahitaji kuolewa hivi ni mwanaume gani atafurahi kujua mkewe alitoa mimba 2 za mtu mmoja tu? Hivi huyu anajua jinsi wanawake wanavyoficha hiyo issue ya kutoa mimba? yani mtu hata uolewe ushindwe kuzaa au upate matatizo humwambii mumeo kuwa ulitoaga mimba. Kutoa mimba huwa ni siri ya mwanamke tena anakufa nayo mwenywe yeye na Dr aliemtoa mimba. Alafu yeye anamtangaza mtoto wa watu katoa mimba, tena sio moja, mbili. Yani kamtia yule mtoto doa kubwa mnooo. Na wale wanaomchambaga Penny huko instagram mbona ndo watapata cha kumchambia zaidi.

Diamond ni mdhalilishaji mnoooooooooo wa wanawake. He doesnt think akiwa anaongea, DAH KABOA MNOO. Hivi unaongeaje on TV kuwa gf wako alitoa mimba 2 tena unamtaja na jina? Huyu mtoto usupa star wake utakuja kuisha vibaya maana anaelekea pabaya sasa. Kusema ukweli mimi I thought wanaume wanaowapenda mama zao au walio close na mama zao huwa wanathamini sana wanawake ila huyu star wetu kaonyesha kuwa sio wote. duh. Hivi Petitman siku akiongea on tv kuwa Esma alitoa mimba 2 yeye atajiskiaje? atafurahi kweli? VERY SAD!

Ila pia mie kama naanza kumstukia huyu kakake Wema, analalamika Penny alitoa mimba zake, Wema alikataa kumzalia mtoto… yani na usupa staa wake woooote kweli hawa wanawake woote wanakataa kumzalia? mie nahisi kama kijana wetu is shooting blanks!!! lol (kama hujui kithungu google). Yani kwa jinsi alivyo na wanawake kila leo lazma mmoja angejibebesha -mimba hata kwa kuiba condom na kujidunga sindano za **** ili imradi apate mimba… Penny alivyokuwaga kafika kwa Diamond anasubiri ndoa kweli achomoe mimba mbili??? mweeeh??? mie naona kama anajitetea sana kuhusu swala la mimba? mdogo wangu Wema alivyokuwaga ready kufa juu ya Diamond na tayari kwa ndoa kweli akatae kuzaa nae? mmmmh!!!! asije tu baadae akasema na Zari nae alikataa kuzaa amzalishe tu hata kamoja, hahahahhahahaa..

Yaani the biggest supastar in East Africa unapiganiwa na mademu kona zote alafu eti wanawake hawataki kuzaa na wewe?? nani kaona hiyo???? yani by now Diamond alitakiwa awe na watoto wa kusingiziwa kama 10 hivi. lol… Hamuoni mwezie Ali Kiba, kidume cha mbegu, UK ana mtoto, sijui na mji gani naskia ana mtoto…Yani yeye akienda nchi za nje kwenye show lazma aache copy yake huko…hahahahhahahah!
 
[QUaOTE=Evelyn Salt;11473295]ha ha ha wasio na hela wanaonekana wana mashipa sio dushe....

Subiri Hvo Vitumbua Vyenu Vimwagiwe Mchanga Sijui Kama Mtakuwa Na Mvuto[/QUOTE]
Endelea kusubiri hadi uzee wako
 
Back
Top Bottom