Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

So true huyo Domoimondi is just a lucky joker. Mziki hakuna pale. Hata huyo Kiba zero. Lakini jamii yetu inata futa na ku create fake heroes
 
Diamond ni moja ya wanamziki wanaojulikana lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa hajui kutunga nyimbo nzuri na zenye mvuto nyimbo zake za kawaida sana mfano.

Nitampata wapi halafu ukisoma jina lake tu unajua ameongelea nini, hazimpi changamoto msikilizaji. huyu Diamond anabebwa sana na promo na ndio maana anatumia gharama kubwa kufanya promo huku akitumia gharama ndogo kutunga nyimbo,ajaribu kumuiga King Kiba
.

Usivyomkubali wewe lkn ushaonesha una mkubali,mwacheni dogo afanye yake kapata nafasi kaitumiaaa. ...
Kila kitu kina hitaji pro hata biashara lzma uifanyie matangazo ili iuzike
 
So true huyo Domoimondi is just a lucky joker. Mziki hakuna pale. Hata huyo Kiba zero. Lakini jamii yetu inata futa na ku create fake heroes
Acha wivu! Angalia historia ya hyo msanii katoka wapi na sahv alipofikia
Hata kama syo shuja kwako anaweza akawa shujaa kwake mwenyewe
 
Diamond ni moja ya wanamziki wanaojulikana lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa hajui kutunga nyimbo nzuri na zenye mvuto nyimbo zake za kawaida sana mfano.

Nitampata wapi halafu ukisoma jina lake tu unajua ameongelea nini, hazimpi changamoto msikilizaji. huyu Diamond anabebwa sana na promo na ndio maana anatumia gharama kubwa kufanya promo huku akitumia gharama ndogo kutunga nyimbo,ajaribu kumuiga King Kiba
.
Chekecha cheketua ama nene? we kichwa ufuto kweli! emotion.JPG
Soma maana ya muziki kwanza
 
Back
Top Bottom