Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Nonsensical b**h.., dont push us p'se.
Unamtisha nani.
Mara ya ngapi unaaga alafu huondoki.
#Nonsensical ..naomba darasa kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsensical b**h.., dont push us p'se.
Unamtisha nani.
Mara ya ngapi unaaga alafu huondoki.
Nonsensical b**h.., dont push us p'se.
Unamtisha nani.
Mara ya ngapi unaaga alafu huondoki.
Well, team Kiba hatunaga unafiki.Kama Kiba tu tunamfyatukia ndio mjue tupo real.
Hizi kelele za chura hazimzuhii ng'ombe kunywa maji.
Leo hatutukani, ni kawaida yenu mkizidiwa mnachafua hali ya hewa, uzi ufungwe.
Leo ni sindano tu.
Nonsensical b**h.., dont push us p'se.
Unamtisha nani.
Mara ya ngapi unaaga alafu huondoki.
Hivi kuandika kule anawapa stress, then mkija apa mnasema kule full kucheketua......SIO UNAFIKI HUU??????
Well, team Kiba hatunaga unafiki.Kama Kiba tu tunamfyatukia ndio mjue tupo real.
Hizi kelele za chura hazimzuhii ng'ombe kunywa maji.
#Nonsensical ..naomba darasa kidogo.
Waambie mamy wamezoea unafiki kukumbatia maovu kisa ushabiki tuu.
Waulize kama wanajua maana ya sankoro kama wanajua eti wanapenda mziki upi huo wasiojua maana yake?
Hivi kuandika kule anawapa stress, then mkija apa mnasema kule full kucheketua......SIO UNAFIKI HUU??????
(non-sen-si-cal
Translate Button
[non-sen-si-kuh l]
adjective
1.
(of words or language)
having little or no
meaning; making little or
no sense🙂
darasa bila ada, karibu tena.
Mbona unaaga afu huondoki au umefua shuka halijakauka? Utajifunika mikono leo kalale
aisee hata mie nimemuelewa hahaaa, kumbe watu huwa wanamastress yao huko wanapiga gambe then wanakuja kuropoka tu
Kuulizana na hawa watu wasioelewa ni sawa na kudeki bahari.
Sikaribii tena.
haya kakojoe ulale kesho uwahi namba.
Waambie mamy wamezoea unafiki kukumbatia maovu kisa ushabiki tuu.
Waulize kama wanajua maana ya sankoro kama wanajua eti wanapenda mziki upi huo wasiojua maana yake?
Mwambie anavokuja kuuliza aje na maana ya 'dushelele'....
Kusoma kuelewa.
Alamsiki! Sitaki mashindano ya maneno, kwa kukurupuka tu siwawezi, hamna upinzani.
Yani sisi ni Wanafiki hakuna mfano...😀😀😀😀:thumbup: