Hazikua na nguvu kama sasa iviMTV MAMA na MTV EUROPE hizo kampeni zilikiwepo na bado MTV MAMA akachukua moja, EUROPE akabeba zote mbili, so kama ipo ipo tu.
Unataka kuyaona mavi[emoji1]Amekunyea nini kwa mfano kwa mtu kama wewe
Mkuu naona umeamua nguruwe apite huna mkuki πππOkay.
Na hata asiposhinda ni kwa sababu kuna wasanii wengi wanashindaniaCcm inaweza ikachelewa kutoka ila diamond hawezi kushinda BET
Atamzidi kweli yule Nakamura anakimbiza 700 million viewersAsahau tuzo sio fani tena akitoa nyimbo wakati huu atapata views nyingi mno.
Ntaenda ndio kwani kuna shida mimi nikienda?Kampigie kura... Unaweza msaidia.
Tatizo la makamanda uchwara ni umaskini..
Sadala hana shida wangempa pesa angewapigia Show moja matata tatizo lao hata ofisi tu makao makuu inawapa tabu mpka wakae chini ya muembe...
Wenzao ccm wametoa pesa yeye haangalii mtu usoni anaangalia pesa, ndio inamlisha mama yake na wanae..
Sasa makamanda walitaka wapigiwe Show bure πππ
Weka screenshotAngalia spidi ya disqualifying partition ndio utaelewa kua watu wana mengi. Ray C mwanzoni alimsifia ila Leo kaongea ukweli wa moyoni na kaweka evidence based facts!
Ndio utawajua panzi Ni akina Nani .Mbona mnailaumu san chadema? Khaa
Yap Keep Their Heads Ringingπmchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Angalia wanaomchukia Diamond ni watu ganiMbona mnailaumu san chadema? Khaa
Ni sababu sisi ni masikini sana mkuuAsili yetu watanzania ni wivu
kumbe kinachowasumbua ni wivu tu walitaka awapigie Show bureMakamanda wanapenda kujiliza liza na michango ya kila aina. Ney anawafagilia sana sikuona hata promo yao kwake hata kumpa show kwenye kampen za Lissu hawakutaka. Asilimia kubwa ya wasanii bongo walihusika kwenye kampeni za CCM miaka nenda rudi leo hii kuona kijana ana watoto kenya,Tanzania na uganda imewaumaaa mbaya zaidi kelele zake kwa Forbes zimewachomaa wanabaki kumsagia kunguni
Hata rais wetu magu alikua na hii mentality kwa wenye nazoUkiwa masikini sana unakuwa na chuki tu kwa watu walio nazo.
Ndio sababu siku tajiri akifa utaona masikini wanashnagilia eti afadhali maana alikuwa ana ringa sana.
Nakushauri tafuta hela mkuu
Naona unaDEMKA'!! πππππKwa hiyo kwa akili yako ndogo diamond akikosa hiyo tuzo chadema itakuwa imepata ushindi?
Anzia kwanza uvivu then umaskini.Ni sababu sisi ni masikini sana mkuu