Wewe ni mnafiki kabisa. . Ungekaa kimya tu.. Nyinyi mko tayari na mmesha uwa wengi...kisa ufisi.
Mnafiki kabisa
Hii ni hatari kabisa! Kweli tumefika hapo kuharibiana watanzania!!!!!! Siamini to hell with chadema people if this is the case Erythrocyte jamani are you people that much haters, kwa Mtanzania mwenzenu? SiaminiSio Lissu pekee chama kizima viongozi na wafuasi wao wana akili za hivyo,hawataki kupingwa,hawataki mawazo mbadala wala mtu kuwa tofauti na wao,wakisema Yes ni Yes hawajui neno NO
Hahahaa ...! Si unaona sasa! Ngoja nikuache..kama unaona kujiuza raha si na ww jiuze tu shoganguVichaa si ndo mlivyo kama wewe kutwa kujiuza halafu unatuoshea hapa...
Hatununui rudi kwa kina lissu wakanunue
Hivi vitakataka vyenu tangu muanze kusign mliwahi kupata mafanikio gani?
Au hata kudai katiba mpya na tume huru maana hizi wansemaga ndio zinasababisha wasishinde,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya majamaa ni ya kuhurumiwa.
Jamani sio chadema kama mnavyotaka tuaminishwe hapa .hizo ni personal hate tu za watu..muiache chademaHii ni hatari kabisa! Kweli tumefika hapo kuharibiana watanzania!!!!!! Siamini to hell with chadema people if this is the case Erythrocyte jamani are you people that much haters, kwa Mtanzania mwenzenu? Siamini
Watu wengi wako kimya lakini wako against nae ndiyo maana petition inakaribia kufikisha 20k votes.Kitu ambacho Mr Plutinumz hakukijua kwamba ukiwa music super star unakua public property by default
waliokupandisha wanaweza kukushusha wakiamua
The hard headed never learns
Mdhamini wa Yanga ni ccm!Mondi ni businessman kama wao wengeweka mkwanja angewawakilisha vyema. Sidhani mondi hata ana give the fuckk about ccm au chadema..anachojali ni profit gross ya kile alichohudumu. Sasa Sijui Kwanini achukiwe kama vile yeye ni kada wa ccm.
Chadema wenyewe wako after money hakuna anayejali Sijui kuleta usawa wala nini.
Wivu tu..
View attachment 1810451
Diamond kaisema jamii ya vibaya wapi?karma is bitch sometimes,nasema we have to play smart and positive.ukishakuwa msanii mkubwa popote unapaswa kusemea jamii yako vizuri pia na kuitetea so unapokosa hayo Kwa maslahi yako tatizo ndo linapoanzaa
Kila mtu ashinde mechi zake halafu tuone mwisho itakuwajeHii ni hatari kabisa! Kweli tumefika hapo kuharibiana watanzania!!!!!! Siamini to hell with chadema people if this is the case Erythrocyte jamani are you people that much haters, kwa Mtanzania mwenzenu? Siamini
Kwa hiyo na nyie mnaiga mentally ya magu?Hata rais wetu magu alikua na hii mentality kwa wenye nazo
Kazana usidhani wadada wenzio wanauza kama wewe hatununui sisiHahahaa ...! Si unaona sasa! Ngoja nikuache..kama unaona kujiuza raha si na ww jiuze tu shogangu
Ndio siasa zetu zilipofika. Mtu kama hakusapoti unapanga kumuharibia...licha ya mondi kuwa mwanasisiemu ila zile show za kampeni walilipwa mpunga mrefu tu, wasanii kama unataka wakufanyie show au wakutungie nyimbo za kampeni wape mpunga, simpo sasa kutaka wakusapoti bure bure hii haipo...Lissu naye amekosea sana kwa hili...!kweli kbs alinikwaza...atakosa sasa wafuasi...khaa!
Kabisa mkuu!Anzia kwanza uvivu then umaskini.
Tu maskini kwasababu ya uvivu
Mkuu anzia hapa jf, nenda huko Twitter angalia wanaanzisha hizo harakati ni watu gajiUnaumwa wewe...kwahiyo wanaomchukia wote wapinzan?
Kwani CHADEMA ndiyo wameanzisha hiyo petition ?Hizo ndio tabia halisi za wana chadema. Na hapo hawajapewa nchi!
Wasichokijua ni kwamba wanazidi kumpaisha huyo jamaa
Bado Yupo Kwani??Hivi vitakataka vyenu tangu muanze kusign mliwahi kupata mafanikio gani?
Magufuli mlisaini wee ili UN imuwekee vikwazo lakini mpaka kajifia bado kapetisheni kenu mmekabana kwapani
Nawashanga watu wanShadadia ni chademaKwani CHADEMA ndiyo wameanzisha hiyo petition ?
Kama ni hivyo afadhali! Huo ni ujima maana inatakiwa tulumbane tukiwa ndani ila tukitoka nje tunakuwa kitu kimoja. Ndivyo walivyo kama wakenya, waghana, wanaija hata waganda. Huyu mtu akipata hata million moja atakuja kununua soda kwa Mpemba; hapo atakuwa ameongeza pato la mpemba. Tulumbane tukiwa ndani ila tukiwa nje kitu kimoja.Jamani sio chadema kama mnavyotaka tuaminishwe hapa .hizo ni personal hate tu za watu..muiache chadema
Wanachadema wa wapi hao na ni akina nani ?Astaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu
Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.