Inaweza ikawa kinyume chake, uzuri inasimamiwa na Weusi wanaweza wasimind sana ukilinganisha na Wazungu....Weusi wengi wanajua changamoto yetu ya roho mbaya miongoni mwetu hivyo wanaweza wakaptezea.Hii tuzo mondi haipati.
na mimi nimemuuliza hivyo nasubiri jibuKwani ile petition ni ya CHADEMA?
Acha kuifananisha marekani na ujinga wa ccm.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una tia huruma kweli!
Diamond ana haki ya kuwa chama chochote kile habari ya kwamba kina kandamiza wanachi hicho kitu mnakiona nyie machadema!
Marekani nchi za watu wenye afya ya akili msanii anasapoti chama akipendacho huwezi kusikia wa chama pinzani wakihamasisha wafuasi wao kumchukia.
Hapa kwetu tumajaa ujinga na unafiki ndio sababu unaona yote haya.
Diamond hata akikosa hiyo tuzo ni kwa sababu kuna mtu amestaili kwa vigezo na si kwa kelel na chuki za wajinga wachache.
Mbona mashabiki wa chadema hawaichukii Simba wakati mdhamini wa MO ni ccm?
Wivu, roho mbaya na umasikini vinaenda sambamba.
SerikaliNani anawashughulikia?
Mara nyingi kaikosa.Hii tuzo mondi haipati.
Kwahiyo kama mpuuzi Lissu angalishinda urais angemuua mtu yeyote aliyepigia kampeni CCM?Ikiwa kwa upande wao utawaona wanakuimbia wimbo wa uzalendo ikiwa upande mwingine wanakuombea anguko au kifo kabisa ili wafurahi na kumtukuza Lema kwa utabiri soon wataanza kumuabudu Lema kuwa ni nabii
Ungekuwa wew Diaomond ungeweza kuutosa upandw wa jiwe kwa kipindi kile?
Kwahiyo kama mpuuzi Lissu angalishinda urais angemuua mtu yeyote aliyepigia kampeni CCM?
Unateseka ukiwa wapi?Niliwahi kusema na narudia tena kusema leo kuwa, "CHADEMA" ni kikundi cha "wahuni".
Sasa hivi hawa wahuni wameacha kufanya siasa zenye tija kwa Watanzania, wanafanya siasa za kuwachafua watu.
Diamond Platinumz akiwa kama Mtanzania huru ana haki na uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa.
Ni haki yake kikatiba kuwa Mwana-ccm na ni haki yake kui-support ccm apendavyo.
Sisi tunapaswa kumpima Diamond Platinumz kwa muziki wake na siyo vinginevyo.
I'll be so surprised if BET organizers will comply with these cyber bullies and ditch Diamond Platinumz.
These so called themselves, "Movement #Change Tanzania" are nothing but cyber bullies and political hooligans.
I believe BET is not a political organization. BET will discerningly and wisely rule out this matter and send a strong message to those cyber bullies who want to tarnish the Image of a talented African artist for their own political agenda.
#IstandwithDiamondPlatinumz
Maskini hawajui kuwa wanaharibu kura zake 2025Ndio inavyoonekana hivyo na wengi wangefungwa na kuuliwa
STAMINA si ROSTAM??Akina ROSTAM WALIUTOSA na wamebaki na heshima zai
Ingia hapaNielekeze jinsi ya kusign
Atapata tu....amini hivyoKuna wasaga kunguni wanakesha kule twitter.. aisee hapati
Tuko pamoja,wabongo wengi wanashikiwa akili.Mimi nataman sana aipate
I cannt sign this fvcking petitionIngia hapa
Can you add your signature? ✍️
23,188 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it